Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Wakimuwahi anapona huyo
 
Diva ni delulu queen. Anapenda ku fantasize maisha ambayo hayaishi na hatokuja kuyaishi. Kweli atakua na shida ya akili maana umri wake na matendo haviendani. Na hiyo haihusiani na kuangalia cartoons 😂😂
Nani alikuambia wasichana wa Tanzania wanazeeka??? Wema Sepetu na Irene Uwoya wlizeekablini?? Lulu wa majiizo......
 
Mkuu ulianza vizuri ila watu wanakutukana kwa kauli hii

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Kujiunganisha na wewe ni diva
 
Million 500 maana yake nitoe Howo 3 Canter 2 kwa wazazi wake 😂😂

Graham Mzee 47, mzima lakini?
Just imagine Mkuu, yaani Howo 3 ambazo ukiwa nazo Kila Siku unalaza si Chini ya milioni 1 Kwa Siku ukampe huye Shangazi wa Mwaka 70's 🙌

Mkuu Mimi naendelea poa kabisa, japo Uzee unafanya niwe naingia mara chache chache humu 🤗

Natumai nawe unaendelea vizuri pia, heri ya Mwaka Mpya🙏🙏
 
Nani alikuambia wasichana wa Tanzania wanazeeka??? Wema Sepetu na Irene Uwoya wlizeekablini?? Lulu wa majiizo......
Umri na matendo kutoendana haimaanishi ni kuzeeka. Kuna vitu akifanya mtu wa 20s unaona ni sawa ila akifanya mtu mwenye 30s na kuendelea unaona kabisa kua sio sawa. Ndio diva sasa
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.

The home of great thinker imevamiwa Diva kweli ni topic ya kuwekewa kwenye jukwaa hili ,peleka Ig,na Facebook
 
Just imagine Mkuu, yaani Howo 3 ambazo ukiwa nazo Kila Siku unalaza si Chini ya milioni 1 Kwa Siku ukampe huye Shangazi wa Mwaka 70's 🙌

Mkuu Mimi naendelea poa kabisa, japo Uzee unafanya niwe naingia mara chache chache humu 🤗

Natumai nawe unaendelea vizuri pia, heri ya Mwaka Mpya🙏🙏
1 Ml hesabu ukimpa kazi ya makusanyo imekula kwako na hatojali, ataenda nunua Prada 😀

Doh! Heri na kwako pia asee.
 
Back
Top Bottom