Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #61
We unayo?Bro kwani huna kazi za kufanya🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unayo?Bro kwani huna kazi za kufanya🤔
Wakimuwahi anapona huyoHivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Nani alikuambia wasichana wa Tanzania wanazeeka??? Wema Sepetu na Irene Uwoya wlizeekablini?? Lulu wa majiizo......Diva ni delulu queen. Anapenda ku fantasize maisha ambayo hayaishi na hatokuja kuyaishi. Kweli atakua na shida ya akili maana umri wake na matendo haviendani. Na hiyo haihusiani na kuangalia cartoons 😂😂
Hana haki ya kuongea mkuu?Wanaume wanazidi kupungua.
Utatuweza waja?Hana haki ya kuongea mkuu?
Hapana muokoeni yule anae taka kujiuaUtatuweza waja?
😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
Yule waja wanataka kumuua kwa mawazo.Hapana muokoeni yule anae taka kujiua
Just imagine Mkuu, yaani Howo 3 ambazo ukiwa nazo Kila Siku unalaza si Chini ya milioni 1 Kwa Siku ukampe huye Shangazi wa Mwaka 70's 🙌Million 500 maana yake nitoe Howo 3 Canter 2 kwa wazazi wake 😂😂
Graham Mzee 47, mzima lakini?
Jf so amazingYule waja wanataka kumuua kwa mawazo.
We bi mkubwa 🙌Mil 23 benk, wewe unazo?
Sasa kati yako na Diva nani mgonjwa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu.Shauri zake wenzake wakiachika wanajipa pozi yeye juu juu atakoma
Kwa Kiba si ndo alisema mwanaume wake wa 1, afu mbona Kiba hajawahi kanushaa.?Diva kajilengesha sana kwa Diamond,Vunjabei, Harmonize,Ali Kiba na kote huko kaambulia patupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umri na matendo kutoendana haimaanishi ni kuzeeka. Kuna vitu akifanya mtu wa 20s unaona ni sawa ila akifanya mtu mwenye 30s na kuendelea unaona kabisa kua sio sawa. Ndio diva sasaNani alikuambia wasichana wa Tanzania wanazeeka??? Wema Sepetu na Irene Uwoya wlizeekablini?? Lulu wa majiizo......
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Mamndenyi hujambo lakini ?Mil 23 benk, wewe unazo?
Sasa kati yako na Diva nani mgonjwa ?
1 Ml hesabu ukimpa kazi ya makusanyo imekula kwako na hatojali, ataenda nunua Prada 😀Just imagine Mkuu, yaani Howo 3 ambazo ukiwa nazo Kila Siku unalaza si Chini ya milioni 1 Kwa Siku ukampe huye Shangazi wa Mwaka 70's 🙌
Mkuu Mimi naendelea poa kabisa, japo Uzee unafanya niwe naingia mara chache chache humu 🤗
Natumai nawe unaendelea vizuri pia, heri ya Mwaka Mpya🙏🙏