Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Kabisa ... Tunataka kuthaminisha na hizo milioo huko kwenye akaunti.Picha ya diva tafadhali , huku backbenchers hatumwoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ... Tunataka kuthaminisha na hizo milioo huko kwenye akaunti.Picha ya diva tafadhali , huku backbenchers hatumwoni.
Weka hizo hizo.... Mimi nitajitahidi kufanya tathimini....Ana picha nyingi na kila moja na sura yake.
Kwa nini yupo hivyo sasa?Ana picha nyingi na kila moja na sura yake.
Hajiamini ana matatizo ya akili.Kwa nini yupo hivyo sasa?
Ndio🤣Huyu ni mmoja??
Tufanyeje sasa mkuu, any solution upungufu unaondeleaa 😂Wanaume wanazidi kupungua.
Million 500 maana yake nitoe Howo 3 Canter 2 kwa wazazi wake 😂😂Nilichofurahi mahari yake imeshuka kutoka milioni 500 Mwaka 2018 hadi shilingi laki 5 Mwaka 2025
Na hapo inaelekea kufika hadi elfu 30 🤗
Hivi alimpataga Neymar?Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
HakikaBro Wewe inakuuma nini?
Mambo yao waachie wenyewe ama nasena uwongo??
Na shimo limechimbwa na vizee vyenye vibamia....,Million 500 maana yake nitoe Howo 3 Canter 2 kwa wazazi wake 😂😂
Graham Mzee 47, mzima lakini?
tukimuwahi anaponaHivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.