Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Weka hizo hizo.... Mimi nitajitahidi kufanya tathimini....
Screenshot_20250210-134306.png
979b4bc3b1b52a7461e484611fbf7cc9.png
1f88a8481c8d2a120d6c1feee42e0a31.png
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Hivi alimpataga Neymar?
Maana alikuwa anamsifia sana redioni kipindi kile yupo Clouds FM na ndio ilikuwaga dream yake.
 
Diva ni delulu queen. Anapenda ku fantasize maisha ambayo hayaishi na hatokuja kuyaishi. Kweli atakua na shida ya akili maana umri wake na matendo haviendani. Na hiyo haihusiani na kuangalia cartoons 😂😂
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
tukimuwahi anapona
 
Back
Top Bottom