Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Afya ya akili ya "Diva" wa Wasafi ipo mashakani

Mimi alini inspire miaka ya nyuma kidogo akiwa clouds media aliwah kupost na kuja issue muhimu kuhusu kujenga na kumiliki Ghorofa.
Kwani lile gorofa kwa nini haishi anapanga, lipo wapi mtaa gani, Diva huyu huyu hapost gorofa lake??
Maisha yake ni ya ndotoni miaka yote
 
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?

Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake

Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini

Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.

Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.

Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu


Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
Nyie wanawake mna tabia za kuringishiana na hapo mnaoneana wivu. Anyway unamwongelea huyo mwenzio kama wote tunamfahamu. Kaeni myaongee myamalize si kila kitu mnaleta huku.
 
Back
Top Bottom