Sana aise mimi mtu anayesema mtu huwasimuelewi ,unaacha kujadili mambo ya muhimu kwa maisha yako unajadili mtuDaah kuna mnakosa kazi kwakweli hv muda wa kuanza kumjadili diva mwanaume mzima unautoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana aise mimi mtu anayesema mtu huwasimuelewi ,unaacha kujadili mambo ya muhimu kwa maisha yako unajadili mtuDaah kuna mnakosa kazi kwakweli hv muda wa kuanza kumjadili diva mwanaume mzima unautoa wapi
SawaJandoni Hatukufunzwa Hivi
Na watu wanajua kumjaza sana, na hachelewi kujaa upepo 😂😂😂😂😂😂😂😂Shauri zake wenzake wakiachika wanajipa pozi yeye juu juu atakoma
Maisha yake ni ya ndotoni miaka yoteMimi alini inspire miaka ya nyuma kidogo akiwa clouds media aliwah kupost na kuja issue muhimu kuhusu kujenga na kumiliki Ghorofa.
Kwani lile gorofa kwa nini haishi anapanga, lipo wapi mtaa gani, Diva huyu huyu hapost gorofa lake??
Sio aibu tu , na dishi pia limeyumbaDiva ni aina ya watu wasiokuwa na aibu,hvyo ndo alivyo
Wewe muda wa kuja ku comment unautolea wapi?Daah kuna mnakosa kazi kwakweli hv muda wa kuanza kumjadili diva mwanaume mzima unautoa wapi
SawaWanaume wanazidi kupungua.
😂😂😂😂😂😂😂😂Ana picha nyingi na kila moja na sura yake.
Wewe kwa nini usiende kujadili kwenye hayo mambo ya muhimu?Sana aise mimi mtu anayesema mtu huwasimuelewi ,unaacha kujadili mambo ya muhimu kwa maisha yako unajadili mtu
Nyie wanawake mna tabia za kuringishiana na hapo mnaoneana wivu. Anyway unamwongelea huyo mwenzio kama wote tunamfahamu. Kaeni myaongee myamalize si kila kitu mnaleta huku.Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli?
Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka download picha ya mkaka mtanashati akaposti kwamba ndo mpenzi wake kwa sasa hivyo hatishiki wala hateseki na ex wake
Kama hiyo haitoshi eti akawa anaturingishia kiasi cha pesa alichonacho kwenye account yake, pesa yenyewe milioni 23 ndo anavimbia nayo mjini
Ukianza kulisifia ujinga kwamba yeye ni mzuri bongo nzima hakuna kama yeye linaingia kwenye mfumo mzima mzima.
Nina wasiwasi maisha yake ya utotoni alikuwa mpenda katuni sana , maana maisha yake na katuni havina tofauti.
Anaishi ndotoni sana ,,mara aote ana date na mzungu ,kichwa kikivurugika ana download picha anapost insta anatutangazia ndio shemeji yetu
Awahiwe huyu kabla mambo hayajaharibika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hajiamini ana matatizo ya akili.
😂😂😂😂😂😂😂😂Nilichofurahi mahari yake imeshuka kutoka milioni 500 Mwaka 2018 hadi shilingi laki 5 Mwaka 2025
Na hapo inaelekea kufika hadi elfu 30 🤗
SawaMwanaume kuandika mada kama hizi unafanya watu tukutie mashaka.
NakaziaJandoni Hatukufunzwa Hivi
Bro kwani huna kazi za kufanya🤔Diva kajilengesha sana kwa Diamond,Vunjabei, Harmonize,Ali Kiba na kote huko kaambulia patupu 😂😂😂😂😂😂😂