Afya ya Ferouz yaendelea kudorora

Afya ya Ferouz yaendelea kudorora

Ukimwona Daz Baba je?
_MG_0908001.JPG
 
Feruzi alikuwa msanii mzuri sana miaka ya mwanzoni mwa 2,000 pamoja na kundi lake la daz nundaz.Ukifanya kolabo nae nyimbo lazma itahit aliutendea haki mziki wa bongofleva
 
Mbona teja zamani sana huyo. Nilimuona pale Wanyama hotel sinza mwaka jana, yani teja mbaya.
 
Daaah, haya bhana, ila kusema ule ukweli tunapoelekea ni kuona ndugu jamaa na marafiki wakipinga vijana wao kuingia kwnye tasnia ya muzik kama ilivokuwa mwanzon mwa miaka ya elfu mbili.
 
Back
Top Bottom