Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhangi sawa,madawa km cocaine hmm,sidhaniUnakumbuka hit single ya starehe? Ni nyimbo ya feruz aliomshirikisha proj jay , ni nyimbo iliyoelezea mafunzo mengi kwa vijana kuhusu starehe na maambukizi ya ukimwi
Feruz leo hii afya yake inaendelea kutia shaka kutoka na kudhoofika
Tetesi za mtaani zinasema anajihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya japo mwenyewe anapingaView attachment 402105
Mungu awaponye madawa ya kulevya mabaya sanaAfadhali ingekuwa sigara ya TCC mkuu ni ile kubwa kitu cha Arusha.
...sio kweli!.kwa yule mama'ako mdogo alipiga na ndomu kwahiyo hakumuambukiza!Huyu Ana Umeme then mnasema Unga
Kipindi hicho kulikua hakuna social networks zaidi ya vimobiteli walikua wanasema eti mkapa ndio alimzawadia hill Gari ni kweli au zilikua fix tu?nikikumbuka miaka hiyo dogo hakauki masaki na jeep yake white new model,maisha haya duh
Durterte kuonesha mfano wakati wa uzinduzi mtu wa kwanza alimshughulikia yeyeDurtete akiwaua wauza Dawa Obama anatoa povu...hawa ni kuwamaliza moja kwa moja
Wala sio hivyo....ni kwamba tu ukishakuwa Mwanamuziki kila Mtu anakufahamu.Kuna wakati naamini kuwa muziki ni fani iliyolaaniwa!
Hapana. Ni ile nyingineAfadhali ingekuwa sigara ya TCC mkuu ni ile kubwa kitu cha Arusha.
Ngoma?Unga + Ngoma + Bange
Weka mbaliPoda sio...
Mkuu mbona vijana wanasema ndiye supplier mkuu wa Sinza area kwa ile kitu ya Arusha?Hapana. Ni ile nyingine
Siro nammanyire?Mkuu mbona vijana wanasema ndiye supplier mkuu wa Sinza area kwa ile kitu ya Arusha?