mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro[emoji849]na wkt situmii uo ugoro.
Kama mvuta ugoro๐na wkt situmii uo ugoro.
Kweli mkuu Mimi huwa nachanganya baking soda na kipande Cha ndimu ukakasi wote unatoka nzuri SanaTumia baking soda ( powder) kupiga mswaki angalau mara 3 kwa wiki
Dah ugoro huu huu wa kabuku kumbe unavutwakama mvuta ugoro
Regency gharama zao ni moto wa kuotea mbaliMeno unayasafisha kwa utulivu.
Utumie muda mrefu kuosha meno.
Let's say asubuhi,
weka dawa kwa mswaki, pitisha kwanza maji mdomoni, sukutua kidogo kisha tema,
Ile dawa kwenye mswaki, weka maji kidogo.
Anza kusukutua meno, hakikisha hadi ndani meno umesukutua, kwa utulivu chukua muda mrefu kidogo .
Mwisho pitisha mswaki kwenye ulimi, yaani vuta ulimi nje kisha pitisha mswaki.
Fanya hivyo asubuhi na wakati wa kulala
NB unaweza enda hapo Regency hospital kuosha meno pia, bima inakubalika
Meno yaliyoathirika na maji ya Arusha ukiosha yanaweza ng'arika?Siku hizi madaktari wa kusafirisha meno wapo kila mahali ni wewe tu kusema unataka nini.
'Nothing is permanent'๐๐๐๐๐
Kuna utaalamu wa kuyang'arisha mfano Arusha kuna clinic nyingi za kung'arisha meno.Meno yaliyoathirika na maji ya Arusha ukiosha yanaweza ng'arika?
Unamaanisha mimi napiga mswaki bila dawa ya meno!?๐Whitedent nayo ni dawa ya meno sikuhizi?
Mi yangu hayajaathirika sana sema hayang'aiKuna utaalamu wa kuyang'arisha mfano Arusha kuna clinic nyingi za kung'arisha meno.