grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Ukitia maji kwenye dawa ya meno basi unaipunguza nguvu yake ya usafishajiMeno unayasafisha kwa utulivu.
Utumie muda mrefu kuosha meno.
Let's say asubuhi,
weka dawa kwa mswaki, pitisha kwanza maji mdomoni, sukutua kidogo kisha tema,
Ile dawa kwenye mswaki, weka maji kidogo.
Anza kusukutua meno, hakikisha hadi ndani meno umesukutua, kwa utulivu chukua muda mrefu kidogo .
Mwisho pitisha mswaki kwenye ulimi, yaani vuta ulimi nje kisha pitisha mswaki.
Fanya hivyo asubuhi na wakati wa kulala
NB unaweza enda hapo Regency hospital kuosha meno pia, bima inakubalika