Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Wanapokea bima, nshaosha meno mara mbili paleRegency gharama zao ni moto wa kuotea mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapokea bima, nshaosha meno mara mbili paleRegency gharama zao ni moto wa kuotea mbali
Nlipelekwa pale nkiwa hoy sana nazinduka bill inasoma mshahara wa mtuWanapokea bima, nshaosha meno mara mbili pale
😂😂😂💪'Nothing is permanent'
'The word change is permanent '
To yeye kula chuma hicho....
Whitedent miaka hiyo kabla ya 2015, saivi n bure kabisaUnamaanisha mimi napiga mswaki bila dawa ya meno!?😄
Umeshinda mkuu😄Whitedent miaka hiyo kabla ya 2015, saivi n bure kabisa
Hatushindani tunaelimishanaUmeshinda mkuu😄
PoleNlipelekwa pale nkiwa hoy sana nazinduka bill inasoma mshahara wa mtu
Chukua baking soda changanya na limao utumie kupigia mswaki kila siku kabla ya kulala ama tumia unga wa mkaa usukutue meno kwa mswaki.Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.
ebu eleza vizur mkuuKweli mkuu Mimi huwa nachanganya baking soda na kipande Cha ndimu ukakasi wote unatoka nzuri Sana
Chukua formula hii utanishukuruKuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro[emoji849]na wkt situmii uo ugoro.
Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro[emoji849]na wkt situmii uo ugoro.
Kuosha meno regency ni sh ngapiMeno unayasafisha kwa utulivu.
Utumie muda mrefu kuosha meno.
Let's say asubuhi,
weka dawa kwa mswaki, pitisha kwanza maji mdomoni, sukutua kidogo kisha tema,
Ile dawa kwenye mswaki, weka maji kidogo.
Anza kusukutua meno, hakikisha hadi ndani meno umesukutua, kwa utulivu chukua muda mrefu kidogo .
Mwisho pitisha mswaki kwenye ulimi, yaani vuta ulimi nje kisha pitisha mswaki.
Fanya hivyo asubuhi na wakati wa kulala
NB unaweza enda hapo Regency hospital kuosha meno pia, bima inakubalika
An ngapiRegency gharama zao ni moto wa kuotea mbali
Picha tafadhaliKuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.
Ahahaaaa....! Yapige yatajuaga yenyewe huku huko kama ni ya ukutani au laa🙄Hee hii sio rangi ya ukutani mkuu?
Yaan hapo utakuta una felii kwenye mambo yafuatayo!Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?
Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.