Afya ya meno: Wenye meno meupe yanayong'ara mnafanyaje jamani tupeane maujanja, nina hali mbaya

Afya ya meno: Wenye meno meupe yanayong'ara mnafanyaje jamani tupeane maujanja, nina hali mbaya

Maji ya arusha na mkoa wa kilimanjaro yana kiwango kikubwa sana cha fluoride per mililiters kitu kinachosababisha tatizo lijulikanalo kama dental fluorosis ndo kule meno yanakuwa kama yameungua .

Hii pia inategemeana na eneo ambalo upo mfano kuna maeneo arusha watu wana meno meupe mno hawa ni wale ambao wanakaa maeneo ambayo yapo mbali na mlima meru .

Dental fluorosis pia ina stages zake mfano ikiwa stage ya awali basi hayo meno yanaweza kusafishika vizuri ikifikia late stage basi ni ngumu kuwa reversed na damage yake ni permenent.

Mbaya zaidi ikizidi sana basi inaathiri hadi mifupa (skeletal fluorosis) mfano watu wanaoishi kata ya maji ya chai arusha .
Maji ya chai ni too much
 
Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?

Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.
NEnda ukasafishwe meno na dentist hutajuta
 
Kuna vitu wenzetu mnatumia au ndo inatokea tu kama mambo mengine yanavyotokea kwa ntu kwa ntu?

Napiga mswaki kama kawaida kwa hizi dawa za kawaida kolgate, whitedent...lakini naona nakoelekea meno yanaelekea kuwa kama mvuta ugoro🙄na wkt situmii uo ugoro.
Nenda hospitali kitengo cha meno waambie unahitaji kusafisha meno ila ukishasafishwa zingatia aina bora ya dawa na kupiga mswaki kila unapokula kitu
 
Kama unatumia sana Kahawa au chai yako waweka majani ya chai acha mara moja hivyo viungo vinaharibu sana meno,
Kama mvuta sigara acha pia,

Dawa ya meno tumia Sensodyne extra whitening.
Kumbe?
 
Kama mvuta sigara acha pia
images.jpeg
 
Kama unatumia sana Kahawa au chai yako waweka majani ya chai acha mara moja hivyo viungo vinaharibu sana meno,
Kama mvuta sigara acha pia,

Dawa ya meno tumia Sensodyne extra whitening.
Inapatikana kwenye supermarkets au hata madukani?

2019 - 2021 Colgate walikuwa wana dawa nzuri iitwayo "Maximum Advanced Whitening" ilikuwa nzuri sana, lazima meno yang'ae kama sufi
 
Back
Top Bottom