Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi je kama ni muda wake umefika?Mungu ampe uponyaji 🙏
Yule nae amepitiliza umri wamuwahishe tu
Iliwahi kutokea mara moja.Hivi haijawai kutokea Papa mtu mweusi?
Yesu Kristo alikuja kwa ajili ya wenye dhambi.Kanisa huwa linawaalika watu wote watubu dhambi zao wapate kuurithi ufalme wa mbinguni.Kanisa huwa haliwabagui watu kwa dhambi zao eti kwamba shoga ana dhambi kubwa kuliko mwizi au muongo,mambo huwa hayaendi hivyo kama unavyodhani wewe kwa akili yako ndogo.Mtetezi wa mashoga utakatifu anautoa wapi?
Acha kuwa mwehu mkuu, Yesu alipomtetea yule mwanamke Kahaba asipigwe mawe alikuwa anatetea umalaya? Yeye Papa alisema wasitengwe kama sehemu ya kuvumiliana kwenye jamii zetu. Hakuna aliyemsafi kwenye jamii zetu isipokuwa tunapaswa kuishi kwa huruma na kusameheana.Mtetezi wa mashoga utakatifu anautoa wapi?
Una akili mkuuAcha kuwa mwehu mkuu, Yesu alipomtetea yule mwanamke Kahaba asipigwe mawe alikuwa anatetea umalaya? Yeye Papa alisema wasitengwe kama sehemu ya kuvumiliana kwenye jamii zetu. Hakuna aliyemsafi kwenye jamii zetu isipokuwa tunapaswa kuishi kwa huruma na kusameheana.
Note:
AmeniMungu ampe uponyaji 🙏
Papa ndio anakufa hivi hana Figo hana mapafu hana kongosho hana ini sasa itakuaje gambe mimoshi noma ila gambe visungura Mungu ampumzishe mahali pepa, amiiinvipimo vingine vya damu vinaonyesha kushindwa kidogo kwa figo, ambayo inadhibitiwa.
Huyo tayari roho imeacha mwiliGod bless pope Francis
Upenyo wa niniMara nyingi viongozi wakubwa wakitangaziwa hivyo, ujue kwamba hali inakuwa ni tayari au karibu na tayari kwa hiyo waungwana wanazuga na kutafuta upenyo muafaka wa kuitangazia dunia
Wa kutoishtua duniaUpenyo wa nini