TANZIA Aga Khan Afariki dunia akiwa na Miaka 88

TANZIA Aga Khan Afariki dunia akiwa na Miaka 88

Unajuaje taaluma ya afya ilihali executive officer wote wanatibiwa pale lakini the way ulivyoandika mhimbiri na kurudia nilithibitisha utakuwa dalali wa kupeleka nyama pale hospitali
Kwani ukiuza nyama huwezi kujua huduma zingine mbona unatukana kazi za watu??? shida ya nchi hii ina watu wengi sana ambao uwezo wao kutambua mambo ni mdogo mnoo...
 
Wahindi nawakubal sana kwenye biashara inaanzishwa na babu mpaka vitukuu wanaikuta ila sisi mwenye biashara akifa na biashara inakufa wenzetu wananidhamu sana ya biashara
 
Back
Top Bottom