Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Kwanini Wamarekani wanatumia mbolea kutoka kwenye Vinyesi vya Binadamu?
Tena mboga za asili kule ndio Zina Bei juu, wanaita organic food,


Sisi wanatuletea gmo na kupoteza mbegu zetu za asili Ili kutuletea magonjwa ya kudumu Ili kutuuzia dawa.

Tunagitahi viongozi wazalendo wenye mawazi ya kujitegemea.
 
Mbegu za asili zina ladha nzuri, ugali ni mzuri, matunda ni mazuri, mchele ni mtamu una harufu na ladha nzuri, mihogo na viazi ni mzuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mbengu za asili na za kisasa
Kule kwao wamestuka na kurudia asili,

Kila kitu wanataka kiwe organic, Cha asili na vinauzwa Bei juu.

Sasa kwanini nasi tusitunze vya kwetu.
 
Hili suala ni janga la ARV jingine huko mbeleni. Imagine jamaa mmoja anakata supply ya mbegu, mbolea na viuatilifu ndani ya mwaka mmoja tu.
Janga kubwa.

Tanzania tuinuke kusaidia Africa
 
Wamarekani wanakufa na mavyakula ya GMO na huo ndio Ukweli Gentleman.

Unataka Watanzania nao wafe?
Cancer kuongezeka ni sababu ya vyakula hivyo visivyo organic,

Usibishane na mtu kama tlatla na Yoda, utapoteza muda Bure.
 
Badala ya kuweka ulinzi kwenye mbegu za asili kwanini usiseme serikali iwekekeze na sisi tutengeneze mbegu zetu ambazo ni za kisasa pia? Technology Kila siku inaenda mbele hairudi nyuma. Mbegu za kisasa ni Bora kuliko za kizamani. Zinaweza kuvumilia ukame na magonjwa. Ukitaka kutumia mbegu za zamani tumia lakini siku nchi yako ikipata upungufu ww chakula msianze kulaumu kina trump kwamba hawatumi misaada.
Ndicho nilichomaanisha,

Serikali iongoze mfumo huo mzuri wa kurudisha mbegu asili.
 
Hebu rudisha hii kadamnasi kwenye mada. Uzi unaharibika kwa sababu ya Wapuuzi.

Moderate au uombe mods wafute tu
Usijali,

Mada inaenda vizuri,

Kuna watu wa kuwapuuza, usipoteze sana muda nao.
 
Mkuu ajenda kama hizi zinajadiliwa kwenye nchi ambayo viongozi wake wapo makini, maslahi ya taifa yanawekwa mbele kuliko maslahi ya kiongoz.
Ajenda kama hizi kwa nchi yetu ni kama vile unawapigia kelele, Tena ukipeleka bungen asilimia kubwa ya wabunge watasinzia watahisi kama unawabembeleza walale
Hili pia linawagusa usalama wa taifa, kitengo ambacho kwasasa watu wanamashaka nacho.
Njaa inayokuja mbeleni,

Ni hatari, tuanzie mapema kujiandaa.
 
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.

Sasa hivi mtu kufikia miaka 80 amejitahidi sana. Binadamu wenye kiherehere kama Bilgate na genge lake la watu wenye roho mbaya wanapanga mipango yao ya kupunguza watu duniani ndo maana wanakuja na miradi yao ya mbegu wanazozitengeneza maabara.Mbegu hizi za maabara si rafiki kwa mwili wa binadamu. Zinamfanya binadamu kuandamwa na magonjwa kama kansa na magonjwa mengine.Siku hizi hata watoto wa kike wanabalehe kabla ya muda wao.

Tusipostuka na kuchukua hatua,miaka ya baadae binadamu atakuwa akifikisha miaka 10 tayari atakuwa amezeeka.
 
Huwezi kuingia JF ukatoka mtupu. Moyo unauma kuona wakulima wetu hawajui madhara ya mbegu hizi. Hiv ikitokea siku mbegu asili zote zimetoweka na hawa mabwana wakagoma kutoa mbegu itakuaje? Si tutawasujudia? Kinachokera zaidi mbegu za GMO hazina ladha nzuri. Tunakulaga tu. Acheni mzaha jamani!!! Michele wa asili mtamu. Miaka ya nyuma ukipikwa wali mtaa mzima hoi kwa harufu maridhawa.
 
Watu wanambeza ila hilo ni jambo muhimu sana kufanyiwa kazi. Mambo mengi yanafanywa kuhakikisha hata kile ambacho tunategemea kama uti wa mgongo tunawategemea wao
 
Ukiachilia mbali kunyang’anywa aridhi, kuachilia mbali madhara mbegu hizi zinazotuachia kwenye miili yetu baada ya kutumia nafaka zake, mbegu hizi pia zinaweza kuifanya ardhi kuwa ni tasa katika uzalishaji kwa miaka 10. Na ikiwa kwa miaka 10 aridhi yako haitaweza kutoa kitu, jiulize mkulima atapatia wapi fedha za kuweza kulipa mikopo yake, hapo ndipo jamaa wanapokuja na kuichukua ardhi yako.

Nchi za Ulaya bado kwa kiasi kikubwa zinaitegemea Afrika kwa malighafi, tunajua walizibeba kwa wingi sana wakati wa ukoloni na hata baada ya uhuru waliendelea kufanya hivyo kwa kupitia viongozi ambao wengi walikuwa ni vibaraka wao, ambao waliwapatia nchi hizi baada ya uhuru, na wale ambao waliwapinga na kukataa kuwa vibaraka waliuwawa kwa namna mbalimbali, sote tunajua hili, walio bakizwa madarakani ni wale waliokubali kwenda sambamba na sera zao, na wao wakazifikisha nchi zetu hapa zilipo.

Hivyo nchi nyingi za Ulaya na Marekani si kwamba tu zinatizama bara hili la Afrika kama sehemu ya kuchota rasilimali mbalimbali, lakini pia kama shamba ambalo watakuja kupanda mazao yao mbalimbali na kuyasafirisha kwenda katika nchi zao. Ndiyo maana Green Revolution inafanya kazi nzuri ya kuwapokonya wakulima wadogowadogo aridhi zao.

Katika vita hivi vya kutunyang’anya aridhi zetu, Gate Foundation, nyuma ya Bill Gate anayetoa mabilioni ya dola zake huku akitabasamu ili aonekane ni malaika na binaadam mzuri kushinda wote mwenye moyo wa pekee katika kuisaidia Afrika, huyu ndiye askari mwenye bunduki iliyo jaa risasi za mbegu za kisasa kwa ajili ya kutuangamiza ili aweze kuchakua aridhi zetu juu ya miili yetu iliyo lala kwenye aridhi yetu ikiwa imekauka kwa njaa kutokana na aridhi yetu kufanywa tasa na risasi za mbegu za kisasa kutoka kwenye bunduki ya Bill Gate na wenzake.

Asilimia 55 ya aridhi yote Afrika leo hii haifai kwa kilimo baada ya kulimwa kwa miaka mingi aina moja ya mazao kwa ajili ya watu wa Ulaya na Marekani. Aridhi hiyo imekuwa ni tasa na Mwafrika bado anavaa suruali yenye viraka matakoni, wakati Bill Gate na wenzake wanatembelea ‘Private Jet’.

Wakati wa kuwa wabinafsi na aridhi zetu umefika. Sema hapana kwenye ‘Uchukuaji Huru’ wao wanaita uwekezaji, mpaka sera zake zibadilishwe.
 
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.

Sasa hivi mtu kufikia miaka 80 amejitahidi sana. Binadamu wenye kiherehere kama Bilgate na genge lake la watu wenye roho mbaya wanapanga mipango yao ya kupunguza watu duniani ndo maana wanakuja na miradi yao ya mbegu wanazozitengeneza maabara.Mbegu hizi za maabara si rafiki kwa mwili wa binadamu. Zinamfanya binadamu kuandamwa na magonjwa kama kansa na magonjwa mengine.Siku hizi hata watoto wa kike wanabalehe kabla ya muda wao.

Tusipostuka na kuchukua hatua,miaka ya baadae binadamu atakuwa akifikisha miaka 10 tayari atakuwa amezeeka.
Na Mungu aliagiza WANADAMU tule vyakula vitoavyo mbegu katika kitabu Cha Mwanzo chapter 1&2.

Kutuletea gmo ni Mpango wa yule Mwovu Ili kufupisha maisha Kwa magonjwa kama kansa.
 
Well said mkuu, ila ni ngumu sana kwa watu kufahamu nini hasa kinaendelea katika huu ulimwengu itabidi itumike nguvu ya ziada kuelewesha watu angalau madhara yasije kuwa makubwa sana kwetu huko mbeleni. Kwa wenye ufahamu na udhalimu huu unaoendelea tujitahidi kusambaza elimu kwa wanaotuzunguka.
 
Ukiachilia mbali kunyang’anywa aridhi, kuachilia mbali madhara mbegu hizi zinazotuachia kwenye miili yetu baada ya kutumia nafaka zake, mbegu hizi pia zinaweza kuifanya ardhi kuwa ni tasa katika uzalishaji kwa miaka 10. Na ikiwa kwa miaka 10 aridhi yako haitaweza kutoa kitu, jiulize mkulima atapatia wapi fedha za kuweza kulipa mikopo yake, hapo ndipo jamaa wanapokuja na kuichukua ardhi yako.

Nchi za Ulaya bado kwa kiasi kikubwa zinaitegemea Afrika kwa malighafi, tunajua walizibeba kwa wingi sana wakati wa ukoloni na hata baada ya uhuru waliendelea kufanya hivyo kwa kupitia viongozi ambao wengi walikuwa ni vibaraka wao, ambao waliwapatia nchi hizi baada ya uhuru, na wale ambao waliwapinga na kukataa kuwa vibaraka waliuwawa kwa namna mbalimbali, sote tunajua hili, walio bakizwa madarakani ni wale waliokubali kwenda sambamba na sera zao, na wao wakazifikisha nchi zetu hapa zilipo.

Hivyo nchi nyingi za Ulaya na Marekani si kwamba tu zinatizama bara hili la Afrika kama sehemu ya kuchota rasilimali mbalimbali, lakini pia kama shamba ambalo watakuja kupanda mazao yao mbalimbali na kuyasafirisha kwenda katika nchi zao. Ndiyo maana Green Revolution inafanya kazi nzuri ya kuwapokonya wakulima wadogowadogo aridhi zao.

Katika vita hivi vya kutunyang’anya aridhi zetu, Gate Foundation, nyuma ya Bill Gate anayetoa mabilioni ya dola zake huku akitabasamu ili aonekane ni malaika na binaadam mzuri kushinda wote mwenye moyo wa pekee katika kuisaidia Afrika, huyu ndiye askari mwenye bunduki iliyo jaa risasi za mbegu za kisasa kwa ajili ya kutuangamiza ili aweze kuchakua aridhi zetu juu ya miili yetu iliyo lala kwenye aridhi yetu ikiwa imekauka kwa njaa kutokana na aridhi yetu kufanywa tasa na risasi za mbegu za kisasa kutoka kwenye bunduki ya Bill Gate na wenzake.

Asilimia 55 ya aridhi yote Afrika leo hii haifai kwa kilimo baada ya kulimwa kwa miaka mingi aina moja ya mazao kwa ajili ya watu wa Ulaya na Marekani. Aridhi hiyo imekuwa ni tasa na Mwafrika bado anavaa suruali yenye viraka matakoni, wakati Bill Gate na wenzake wanatembelea ‘Private Jet’.

Wakati wa kuwa wabinafsi na aridhi zetu umefika. Sema hapana kwenye ‘Uchukuaji Huru’ wao wanaita uwekezaji, mpaka sera zake zibadilishwe.
Haya ni madini,

Sasa viongozi wenye maono na uzalendo aina ya Gwajima ndio wafaao kupewa uongozi wa juu watuongoze.
 
Na Mungu aliagiza WANADAMU tule vyakula vitoavyo mbegu katika kitabu Cha Mwanzo chapter 1&2.

Kutuletea gmo ni Mpango wa yule Mwovu Ili kufupisha maisha Kwa magonjwa kama kansa.
Kwa hiyo tunaishi miaka 80 kwa agizo la Mungu au gmo? Mnatuchanganya sasa
 
Ukiachilia mbali kunyang’anywa aridhi, kuachilia mbali madhara mbegu hizi zinazotuachia kwenye miili yetu baada ya kutumia nafaka zake, mbegu hizi pia zinaweza kuifanya ardhi kuwa ni tasa katika uzalishaji kwa miaka 10. Na ikiwa kwa miaka 10 aridhi yako haitaweza kutoa kitu, jiulize mkulima atapatia wapi fedha za kuweza kulipa mikopo yake, hapo ndipo jamaa wanapokuja na kuichukua ardhi yako.

Nchi za Ulaya bado kwa kiasi kikubwa zinaitegemea Afrika kwa malighafi, tunajua walizibeba kwa wingi sana wakati wa ukoloni na hata baada ya uhuru waliendelea kufanya hivyo kwa kupitia viongozi ambao wengi walikuwa ni vibaraka wao, ambao waliwapatia nchi hizi baada ya uhuru, na wale ambao waliwapinga na kukataa kuwa vibaraka waliuwawa kwa namna mbalimbali, sote tunajua hili, walio bakizwa madarakani ni wale waliokubali kwenda sambamba na sera zao, na wao wakazifikisha nchi zetu hapa zilipo.

Hivyo nchi nyingi za Ulaya na Marekani si kwamba tu zinatizama bara hili la Afrika kama sehemu ya kuchota rasilimali mbalimbali, lakini pia kama shamba ambalo watakuja kupanda mazao yao mbalimbali na kuyasafirisha kwenda katika nchi zao. Ndiyo maana Green Revolution inafanya kazi nzuri ya kuwapokonya wakulima wadogowadogo aridhi zao.

Katika vita hivi vya kutunyang’anya aridhi zetu, Gate Foundation, nyuma ya Bill Gate anayetoa mabilioni ya dola zake huku akitabasamu ili aonekane ni malaika na binaadam mzuri kushinda wote mwenye moyo wa pekee katika kuisaidia Afrika, huyu ndiye askari mwenye bunduki iliyo jaa risasi za mbegu za kisasa kwa ajili ya kutuangamiza ili aweze kuchakua aridhi zetu juu ya miili yetu iliyo lala kwenye aridhi yetu ikiwa imekauka kwa njaa kutokana na aridhi yetu kufanywa tasa na risasi za mbegu za kisasa kutoka kwenye bunduki ya Bill Gate na wenzake.

Asilimia 55 ya aridhi yote Afrika leo hii haifai kwa kilimo baada ya kulimwa kwa miaka mingi aina moja ya mazao kwa ajili ya watu wa Ulaya na Marekani. Aridhi hiyo imekuwa ni tasa na Mwafrika bado anavaa suruali yenye viraka matakoni, wakati Bill Gate na wenzake wanatembelea ‘Private Jet’.

Wakati wa kuwa wabinafsi na aridhi zetu umefika. Sema hapana kwenye ‘Uchukuaji Huru’ wao wanaita uwekezaji, mpaka sera zake zibadilishwe.
Ndoto za mchana
 
Back
Top Bottom