Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Na wewe kwa hayo uliyoyaandika ni "fanatic" wa nini? Au ni lunatic?
Mimi ni fanatic wa state secularity.

Nsie endeshwa na mihemko ya kidini.

Sio maamuma wa dini kama ulivyo wewe.

Niaminie kwamba binadamu wote ni sawa regardless anaamini Nini.

Ambaye akili yake Iko SANE when it comes state affairs.

A true pan africanist, son of Africa.

Tanganyikan patriot.

Umenipata wewe Bibi. Usiejielewa.
 
Mimi ni fanatic wa state secularity.
Nsie endeshwa na mihemko ya kidini.⁷

Sio maamuma wa dini kama ulivyo wewe.
Niaminie kwamba binadamu wote ni sawa regardless anaamini Nini.

Ambaye akili yake Iko SANE when it comes state affairs.
A true pan africanist, son of Africa.

Tanganyikan patriot.
Umenipata wewe Bibi. Usiejielewa.
Mangungo,
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimeeleza juhudi alizofanya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika kumuunga mkono Julius Nyerere kuijenga TANU kuwa "a nationalist-securalist party."

Na hii ni baada ya Hamza Mwapachu kumsisitizia Abdul Sykes kuwa uongozi wa TAA 1953 apewe Nyerere na 1954 waunde chama cha TANU na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Mwapachu akasisitiza kuwa Nyerere ni Mkristo na kwa TANU kuongozwa na yeye kutasaidia kujenga umoja kwani haitaonekana kuwa harakati za siasa na kudai uhuru ni za Waislam.

Mazungumzo haya yaifanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Hii ni moja ya "great moments," katika kitabu cha Abdul Sykes.
Yako mengi siwezi kueleza yote hapa.

Ndiyo maana kitabu hiki kinamshtua kila anaekisoma.
Waislam wamejitolea sana katika suala la kupiga vita udini.

Ndiyo nasisitiza mumsome Bergen na Sivalon mtambue nini kilifanywa baada ya uhuru kupatikana.

Historia uliyosoma wewe umemsoma Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Ali Mwinyi Tambwe na Sheikh Hassan bin Ameir?

Jiulize.
Kwa nini?

Ikiwa unawathamini wazalendo chembelecho "patriots" TANU ilijaa masheikh "patriots" wakiuza kadi za TANU ndani ya misikiti.

Huna sababu ya kuandika maneno ya kufikiria.

Jifunze historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere.

Tusimame hapa kwa sasa.
Nahitimisha kwa kukupa tahadhari.

Maalim Faiza si wa kawaida.
She is above average intellect yake ni kubwa sana.

Kakaa vizuri darasani na ni bingwa wa lugha zote unazoandika wewe hapa na zaidi.

Tunafaidika sana hapa na elimu yake.

1697188299133.png

Daily News halijui majina ya wazalendo hawa waliopigania uhuru wamepewa jina la mkururo, yaani jumla jamala mimi nawajua kwa kuwa ni babu zaungu: Kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi.

Mshume Kiyate na Max Mbwana wamepewa mitaa kama kumbukumbu ya mchango wao katika ukombozi wa Tanganyika lakini miaka mingi imepita wahusika wamekataa kutekeleza.

Nini sababu?
 
Mangungo,
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimeeleza juhudi alizofanya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika kumuunga mkono Julius Nyerere kuijenga TANU kuwa "a nationalist-securalist party."

Na hii ni baada ya Hamza Mwapachu kumsisitizia Abdul Sykes kuwa uongozi wa TAA 1953 apewe Nyerere na 1954 waunde chama cha TANU na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Mwapachu akasisitiza kuwa Nyerere ni Mkristo na kwa TANU kuongozwa na yeye kutasaidia kujenga umoja kwani haitaonekana kuwa harakati za siasa na kudai uhuru ni za Waislam.

Mazungumzo haya yaifanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Hii ni moja ya "great moments," katika kitabu cha Abdul Sykes.
Yako mengi siwezi kueleza yote hapa.

Ndiyo maana kitabu hiki kinamshtua kila anaekisoma.
Waislam wamejitolea sana katika suala la kupiga vita udini.

Ndiyo nasisitiza mumsome Bergen na Sivalon mtambue nini kilifanywa baada ya uhuru kupatikana.

Historia uliyosoma wewe umemsoma Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Ali Mwinyi Tambwe na Sheikh Hassan bin Ameir?

Jiulize.
Kwa nini?

Ikiwa unawathamini wazalendo chembelecho "patriots" TANU ilijaa masheikh "patriots" wakiuza kadi za TANU ndani ya misikiti.

Huna sababu ya kuandika maneno ya kufikiria.

Jifunze historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere.

Tusimame hapa kwa sasa.
Nahitimisha kwa kukupa tahadhari.

Maalim Faiza si wa kawaida.
She is above average intellect yake ni kubwa sana.

Kakaa vizuri darasani na ni bingwa wa lugha zote unazoandika wewe hapa na zaidi.

Tunafaidika sana hapa na elimu yake.

View attachment 2780832
Daily News halijui majina ya wazalendo hawa waliopigania uhuru wamepewa jina la mkururo, yaani jumla jamala mimi nawajua kwa kuwa ni babu zaungu: Kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi.
Aisee, Mzee inatosha kama mtu asipokuelewa ana matatizo kwakweli. Nakupa heshma yako mzee wangu 👏👏👏.
 
Mangungo,
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimeeleza juhudi alizofanya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika kumuunga mkono Julius Nyerere kuijenga TANU kuwa "a nationalist-securalist party."

Na hii ni baada ya Hamza Mwapachu kumsisitizia Abdul Sykes kuwa uongozi wa TAA 1953 apewe Nyerere na 1954 waunde chama cha TANU na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Mwapachu akasisitiza kuwa Nyerere ni Mkristo na kwa TANU kuongozwa na yeye kutasaidia kujenga umoja kwani haitaonekana kuwa harakati za siasa na kudai uhuru ni za Waislam.

Mazungumzo haya yaifanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Hii ni moja ya "great moments," katika kitabu cha Abdul Sykes.
Yako mengi siwezi kueleza yote hapa.

Ndiyo maana kitabu hiki kinamshtua kila anaekisoma.
Waislam wamejitolea sana katika suala la kupiga vita udini.

Ndiyo nasisitiza mumsome Bergen na Sivalon mtambue nini kilifanywa baada ya uhuru kupatikana.

Historia uliyosoma wewe umemsoma Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Ali Mwinyi Tambwe na Sheikh Hassan bin Ameir?

Jiulize.
Kwa nini?

Ikiwa unawathamini wazalendo chembelecho "patriots" TANU ilijaa masheikh "patriots" wakiuza kadi za TANU ndani ya misikiti.

Huna sababu ya kuandika maneno ya kufikiria.

Jifunze historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere.

Tusimame hapa kwa sasa.
Nahitimisha kwa kukupa tahadhari.

Maalim Faiza si wa kawaida.
She is above average intellect yake ni kubwa sana.

Kakaa vizuri darasani na ni bingwa wa lugha zote unazoandika wewe hapa na zaidi.

Tunafaidika sana hapa na elimu yake.

View attachment 2780832
Daily News halijui majina ya wazalendo hawa waliopigania uhuru wamepewa jina la mkururo, yaani jumla jamala mimi nawajua kwa kuwa ni babu zaungu: Kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi.
Anyway tuseme Waislamu wa Kariakoo ambao ni wazazi wako ndiyo walileta uhuru wa Tanganyika. What do you want next?
 
Mangungo,
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimeeleza juhudi alizofanya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika kumuunga mkono Julius Nyerere kuijenga TANU kuwa "a nationalist-securalist party."

Na hii ni baada ya Hamza Mwapachu kumsisitizia Abdul Sykes kuwa uongozi wa TAA 1953 apewe Nyerere na 1954 waunde chama cha TANU na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Mwapachu akasisitiza kuwa Nyerere ni Mkristo na kwa TANU kuongozwa na yeye kutasaidia kujenga umoja kwani haitaonekana kuwa harakati za siasa na kudai uhuru ni za Waislam.

Mazungumzo haya yaifanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio Ukerewe kati ya Mwapachu Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Hii ni moja ya "great moments," katika kitabu cha Abdul Sykes.
Yako mengi siwezi kueleza yote hapa.

Ndiyo maana kitabu hiki kinamshtua kila anaekisoma.
Waislam wamejitolea sana katika suala la kupiga vita udini.

Ndiyo nasisitiza mumsome Bergen na Sivalon mtambue nini kilifanywa baada ya uhuru kupatikana.

Historia uliyosoma wewe umemsoma Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Ali Mwinyi Tambwe na Sheikh Hassan bin Ameir?

Jiulize.
Kwa nini?

Ikiwa unawathamini wazalendo chembelecho "patriots" TANU ilijaa masheikh "patriots" wakiuza kadi za TANU ndani ya misikiti.

Huna sababu ya kuandika maneno ya kufikiria.

Jifunze historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere.

Tusimame hapa kwa sasa.
Nahitimisha kwa kukupa tahadhari.

Maalim Faiza si wa kawaida.
She is above average intellect yake ni kubwa sana.

Kakaa vizuri darasani na ni bingwa wa lugha zote unazoandika wewe hapa na zaidi.

Tunafaidika sana hapa na elimu yake.

View attachment 2780832
Daily News halijui majina ya wazalendo hawa waliopigania uhuru wamepewa jina la mkururo, yaani jumla jamala mimi nawajua kwa kuwa ni babu zaungu: Kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi.

Mshume Kiyate na Max Mbwana wamepewa mitaa kama kumbukumbu ya mchango wao katika ukombozi wa Tanganyika lakini miaka mingi imepita wahusika wamekataa kutekeleza.

Nini sababu?
utakufa kihoro kama kiyate.

inabidi utwenge wewe mpaka msikiti wa kichangani.
 
Aisee, Mzee inatosha kama mtu asipokuelewa ana matatizo kwakweli. Nakupa heshma yako mzee wangu 👏👏👏.
Hard...
Ahsante sana ndugu yangu.

Si kama hawaelewi.
Ni suala la saikolojia.

Akili inakataa kuamini kuwa hiki wanachosoma ndiyo ukweli wenyewe na uzito unaowapiga ni kuwa hii ni historia iliyotawaliwa na Waislam ambao leo ni watu duni fursa zote za uhuru walioupigania zimewapita upande wa kushoto.

Waliaminishwa kuwa Mwalimu Nyerere aliwashinda wote kwa kufanya yote peke yake bila ya msaada kutoka popote.

Watu hawakuwa wanajua kuwa hiyo African Association iliundwa na baba yake Abdul Sykes na hata hiyo ofisi iliyokuja kuwa ya ofisi ya TAA ilipoasisiwa TANU ilijengwa na Kleist Sykes.

Nyerere kamkuta Abdul Sykes katika uongozi akiwa Act. President na Secretary.

Bahati mbaya na Mwalimu akawa kimya kwa yote haya ingawa yeye alijuwa vipi aliingizwa katika uongozi na changamoto zilizo mkabili siku za mwanzo za uongozi wake.

Watu aliokuwa karibu na yeye wote anawajua lakini hakupenda kuwataja hata kwa mbali.

Mwalimu katoa medali 3979 kwa watu waliochangia juhudi zao kwa maendeleo ya Tanzania wakati anaaga uongozi 1985.

Hakuna hata mmoja katika wapigania uhuru aliyetunukiwa medali.

Vipi watu wasiamini kile wanachokisikia na kukishuhudia ndiyo ukweli wenyewe?

Taratibu tutafunzana historia ya uhuru wa Tanganyika na taratibu ukweli utadhihirika In Shaa Allah.

1697215475726.png

Picha ya mmoja wa mikutano ya mwanzo ya TANU
Angalia kushoto kuna sehemu kuwa weusi mtupu
Sehemu hiyo ilitengwa kwa ajili ya wanawake na huo
weusi ni mabaibui
1697215739522.png

Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Attas), Bi. Titi Mohamed na wa kwanza kushoto Bi. Tatu bint Mzee na kati ni Julius Nyerere wakimsindikiza safari ya kwanza UNO mwezi February 1955​
 
ujinga upo madrasa mnaofundishwa kumchukia Nyerere.
Luku...
Haiwezekani madrasa inayosomesha Qur'an ya Mwenyezi Mungu kitabu kilicho juu kabisa pafundishwe chuki kuwachukia waja wa Allah.

Hakuna katika historia ya uhuru wa Tanganyika mahali popote Waislam wamekaa kupanga njama kuwahujumu Wakristo.

Kama unao ushahidi uweke hapa uonekane.

Mimi nimekuwekea hapa rejea za vitabu vinavyoeleza njama dhidi ya Uislam na Waislam.

Msome: Bergen na Sivalon.
 
Ni kweli mzee Mohamed Said ni muandishi mwenye udini ndani yake. Ila mimi sioni shida yeye kufanya hivyo.

Maandiko yake yamebeba historia yenye kugusa uislam. Sidhani kama kuna ubaya mtu kuandika historia ya jambo lenye umuhimu kwake. Wakristo pia wanaandika historia zao kwa namna wanavyopenda. Kuna masimulizi mengi tu kuhusu Vatcan na ukatoliki.

Kama Mohamed Said anaongopa kwenye historia anayoiandika, basi apingwe kwa hoja. Na sio kuweka kisingizio cha udini. Ukishakua muislam au mkristo, automatically unakua "mdini". Watu pekee wasiokua na "udini" ni wapagani!
 
Hard...
Ahsante sana ndugu yangu.

Si kama hawaelewi.
Ni suala la saikolojia.

Waliaminishwa kuwa Mwalimu Nyerere aliwashinda wote kwa kufanya yote peke yake bila ya msaada kutoka popote.

Watu hawakuwa wanajua kuwa hiyo African Association iliundwa na baba yake Abdul Sykes na hata hiyo ofisi iliyokuja kuwa ya ofisi ya TAA ilipoasisiwa TANU ilijengwa na Kleist Sykes.

Nyerere kamkuta Abdul Sykes katika uongozi akiwa Act. President na Secretary.

Bahati mbaya na Mwalimu akawa kimya kwa yote haya ingawa yeye alijuwa vipi aliingizwa katika uongozi na changamoto zilizo mkabili siku za mwanzo za uongozi wake.

Watu aliokuwa karibu na yeye wote anawajua lakini hakupenda kuwataja hata kwa mbali.

Mwalimu katoa medali 3979 kwa watu waliochangia juhudi zao kwa maendeleo ya Tanzania wakati anaaga uongozi 1985.

Hakuna hata mmoja katika wapigania uhuru aliyetunukiwa medali.

Vipi watu wasiamini kile wanachokisikia na kukishuhudia ndiyo ukweli wenyewe?

Taratibu tutafunzana historia ya uhuru wa Tanganyika na taratibu ukweli utadhihirika In Shaa Allah.
Mkuu tuko sambamba hakika unachokifanya ni kitu kikubwa sana. You happen to be appointed by the Almighty Allah to say that truth and correct the political sabotages against those patriots and probably where they are now will be happy for that. Ni hakika kabisa hawakutendewa sawa.

Nilikuwa naomba kama una copy ya kitabu cha Dk. J. P Sivalon ili nipate kukisoma mzee wangu🙏.
 
Mkuu tuko sambamba hakika unachokifanya ni kitu kikubwa sana. You happen to be appointed by the Almighty Allah to say that truth and correct the political sabotages against those patriots and probably where they are now will be happy for that. Ni hakika kabisa hawakutendewa sawa.

Nilikuwa naomba kama una copy ya kitabu cha Dk. J. P Sivalon ili nipate kukisoma mzee wangu🙏.
Hardbody,
Ahsante.
Kitabu kinauzwa elfu mbili wapitie wauza vitabu wa mitaani nje ya misikiti utakipata.
 
Back
Top Bottom