Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Hzo kelele zake hazina madhara kama wengi tunavomfikiria, upuuzi naouona ni yy kutaka kutuaminisha ile ndo historia ya Tanganyika, uandishi wa historia sensitive kama ya taifa unaaangalia vitu vingi
Hivi alikulazimisha kumsoma, kama unayo unayoyaamini tayari na yeye anataka kukulazimisha, kinachokufanya umsome ni nini?

Usisahau kutuonesha na sisi alipokulazimisha umsome au umuamini.
 
Ingekuwa sivyo shuleni ingekuwa inafundishwa historia ya hao wazee wanywa kahawa kkoo lakini historia inayofundishwa toka primary mpaka chuo kikuu ni historia ya msomi mkatoliki aliyewasaidia wazee wa kkoo kupata uhuru wa nchi hii.
Shuleni kuna kusomeshwa ujinga pia, usisahau hilo.
 
Kuna waislam wengi Tanzania Tena wasomi wazuri tu na viongozi wakubwa. Unganeni muongeze nguvu na sheikh ponda kudai yaliyo sahihi kwa waislam. Umoja ni nguvu. Mambo ya kila mtu kulalamika kivyake hayatasaidia kuondoa matatizo ya waislam
Vinginevyo kubali waislam ndo chanzo cha matatizo yao wenyewe. Mbona tec ikiwa kuna tatizo upande wao wanaungana na kulitolea msimamo. Waislam wanakwama wapi?
Wewe si umesema u Muislam, unangoja nini kuwafata uanze kuwaunganisha?
 
Mzee Said hana baya japo nachelea kusema machapisho yake mengi yameelekea kuonesha kuwa watu fulani wananyanyaswa na wengine katika mrengo wa kidini

Kitu ambacho sio sawa sababu udini ni mbaya sana

Kuhusu historia ya Kariakoo, naafikiana nae sababu kila mwanahistoria anabeneo lake la ubobezi, yeye kabobea hapo hivyo tumwache ajimwayemwaye katika sehemu yake
Wewe umebobea wapi?
 
Si amekushauri "Msome John Sivalon (1992), Bergen (1981) na Njozi (2002)".

Tatizo nini hapo?
Maalim Faiza...
Siku zote hujiuliza kitu gani kilimsukuma Sivalon kuandika kitabu ambacho kilianika uwanjani kila mtu ayajue yale yaliyokuwa siri kubwa.

Kwa kipindi kitabu hiki kikawa kinasomwa na Waislam na wao sasa wakawa wameujua ukweli kutoka kwa wenyewe wahusika.

Serikali ilipogutuka na kukiondoa kimya kimya kitabu hiki ilikuwa imechelewa sana.

Nini kilifuatia.
Kitabu kikawa hakipatikani.

Ghafla vitabu vipya vikaibuka.

Wapi vinatoka vitabu hivi ilhali mchapaji Benedictine Publications Ndanda Peramiho na msambazaji Cathedral Bookshop hawana tena vitabu hivi?

Uchunguzi ukabaini kuwa vijana ''Wajasiriamali'' walipojua kuwa hivi vitabu vinatakiwa sana na Waislam wakaingia kazini kuvichapa kinyemela vichochoroni.

Wenye haki miliki wakapata habari kuwa vitabu vyao vinachapwa na vinauzwa lakini wakawa kimya wanaogopa kusema kuwa vitabu vyao vinachapwa bila ya idhini yao.

Allah ana shani yake.

1697168598419.png

Nakala hii ni fotokopi inayouzwa mitaani mara nyingi jirani na misikiti na wauzaji wa mikononi
1697168906899.jpeg

Kitabu hiki nimekinunua nje ya Msikiti wa Makonde, Dar es Salaam 2013
1697169016656.png

Jan P van Bergen
''Wajasiriamali'' wameshindwa kukichapa kama kitabu cha Sivalon kwa kuwa wanasema hakina soko kwa sababu kimeandikwa kwa Kiingereza
 
Just...
Udogoni ukiingia chumbani kwangu utakuta vitu viwili huvikuti kwa mtoto yeyote wa Kariakoo.

Kwanza utakuta ukutani kuna ubao (blackboard).
Hii nikitumia kwa kusoma.

Nilikuwa nahifadhi ninayosoma kisha kuyaandika ubaoni.
Kitu kingine utakachokiona ni Hoffner Electric Guitar.

Nikipiga guitar.
Nikipenda kumuiga Hank Marvin.

Baadae nilipokwenda Uingereza nikajifunza keybaord na haikuwa kazi kubwa kuijua kwa kuwa tayari nilikuwa najua kupiga guitar.

Nimefurahi kusikia kuwa na wewe unapenda muziki.
Kitu kingine utakiona chumbani kwangu ni ''daluga'' yaani viatu vya mpira.

Nikipenda kuvaa Adidas.

Nilikuwa na ndoto iko siku nitavaa jezi ya Sunderland kisha timu ya taifa.
Niliishia kucheza Mnazi Mmoja na Kidongo Chekundu na kwengineko michangani sikugusa Karume Stadium.

Kiwango changu kilikuwa chini.

Mama kila siku akiulani mpira wangu na kuniombea dua niwe mwalimu kama baba yake Sheikh Muhammad Mvamila.

Bibi yangu Bi. Mwantum bint Mgeni akimwita mumewe, ''Hayati Bwana.''
Yeye dua yake nimechukua jina na nichukue yake yote.

Labda ndiyo maana leo niko hapa JF nasomesha.
Alhamdulilah.

1697169966520.png

Humburg
1697170054864.png

Muscat​
Nyumba nyingi nilizofika nje hukuta watoto wa ndugu zangu wanasoma muziki shule basi hujikumbusha.
 
Just...
Udogoni ukiingia chumbani kwangu utakuta vitu viwili huvikuti kwa mtoto yeyote wa Kariakoo.

Kwanza utakuta ukutani kuna ubao (blackboard).
Hii nikitumia kwa kusoma.

Nilikuwa nahifadhi ninayosoma kisha kuyaandika ubaoni.
Kitu kingine utakachokiona ni Hoffner Electric Guitar.

Nikipiga guitar.
Nikipenda kumuiga Hank Marvin.

Baadae nilipokwenda Uingereza nikajifunza keybaord na haikuwa kazi kubwa kuijua kwa kuwa tayari nilikuwa najua kupiga guitar.

Nimefurahi kusikia kuwa na wewe unapenda muziki.
Kitu kingine utakiona chumbani kwangu ni ''daluga'' yaani viatu vya mpira.

Nikipenda kuvaa Adidas.

Nilikuwa na ndoto iko siku nitavaa jezi ya Sunderland kisha timu ya taifa.
Niliishia kucheza Mnazi Mmoja na Kidongo Chekundu na kwengineko michangani sikugusa Karume Stadium.

Kiwango changu kilikuwa chini.

Mama kila siku akiulani mpira wangu na kuniombea dua niwe mwalimu kama baba yake Sheikh Muhammad Mvamila.

Bibi yangu Bi. Mwantum bint Mgeni akimwita mumewe, ''Hayati Bwana.''
Yeye dua yake nimechukua jina na nichukue yake yote.

Labda ndiyo maana leo niko hapa JF nasomesha.
Alhamdulilah.

Nyumba nyingi nilizofika nje hukuta watoto wa ndugu zangu wanasoma muziki shule basi hujikumbusha.
Shukrani sana Mkuu, tupo pamoja
 
Mzizi...
Nitashukuru ikiwa utaweka hapa uongo wangu.

Unadhani kwa kuifuta historia ya kweli na kupachika kitu kingine ndiyo kutajenga umoja?

Umoja unaletwa na haki na usawa kwa raia wote.
Umepata kujiuliza hili?
Historia ya kweli ya Mwisilamu?

Sikiliza wewe babu, wewe ni tapeli, wakala wa ibilisi unaelenga kugombanisha watanzania kwa kutukuza imani yako ya kuletewa na waarabu!

Sisi wengine hatusubiri uje ufe ndiyo tuanze kukusema. Kama wewe unavyofanya.

We ni mhaini kwa taifa letu
 
Mohamed Said analilia kuwa wazazi wake hawakutajwa kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika!! This is absurd and totally nonsensical. Hsitory takes big picture only, not those trivials. Any way kama Waislamu wamempa tuzo kwa kuandika pumba its well and good kwa sababu hizo ndiyo wanapenda kusikiliza.

Nimetembea Senegal yenye Waislamu zaidi ya 95%, wala sikukuta Waislamu wenye roho za kulalamika kama huyu babu. Rais wa kwanza wa Senegal Leopold Sedar Senghor ni Mkristu na alitawala kwa muda mrefu kuanzia 1960 hadi 1980, na Waislamu walimpokea na kushirikiana naye. Senegal ni nchi ya mfano ya Waislamu ambao hawana itikadi ya ki -mujahedeen. Wanaswali vizuri bila kelele kwenye minarets zao, hawana shida na minorities Wakristu na nguruwe zao na wala huwezi kuuwakuta vijana wao kwenye operesheni za Al Shabab au Bokoharam. Ila huyu babu siyo wa kumuendekeza, akipata fursa ya kuvaa mabomu atakuja yavaa
Ana chuki ya kishetani kabisa huyu babu.
 
Historia ya kweli ya Mwisilamu?

Sikiliza wewe babu, wewe ni tapeli, wakala wa ibilisi unaelenga kugombanisha watanzania kwa kutukuza imani yako ya kuletewa na waarabu!

Sisi wengine hatusubiri uje ufe ndiyo tuanze kukusema. Kama wewe unavyofanya.

We ni mhaini kwa taifa letu
Mzizi...
Unapojadiliana na mwenzako ukamuona kahamaki anatoa maneno makali ni busara kusimamisha mjadala labda huenda akatulia na kurejea katika hali yake ya kawaida.

Hali hii hutokea pale anapokuwa kaelemewa.

Pumzika.
 
Mzizi...
Unapojadiliana na mwenzako ukamuona kahamaki anatoa maneno makali ni busara kusimamisha mjadala labda huenda akatulia na kurejea katika hali yake ya kawaida.

Hali hii hutokea pale anapokuwa kaelemewa.

Pumzika.
Kjina kalemewa ameanza kuporomosha matusi

Mzee tulia zako kariakoo
 
Back
Top Bottom