Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Massa,
Msome John Sivalon (1992), Bergen (1981) na Njozi (2002).

Mkuu mimi nimeomba maoni yako Kama mdau na mtanganyika muislam. Nini kifanyike kuondoa matatizo ya waislam Tanzania usikwepeshe tafadhari. Mwisho wa siku vizazi vitawalaumu kwa kushindwa kupata suluhu ya matatizo ya waislam wa Tanzania
 
Huyu mzee wangu wa Gerezani aangaliwe vizuri.

Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.

Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu,.

Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.

Maandishi yake yana udini ndani yake,mara nyingi huwa ndio agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasfiwa na mzee Kenyatta kumbe kItabu kinamsema vibaya,alitumia literature,ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.

Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee,aporwe tuzo alizowahi kupewa.

Kuna kitabu cha The Modern World Since 1870 by L Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.

Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi,ndio maana kipindi cha Nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
Anaandika ukweli ambao hutaki kuusikia
 
Mkuu mimi nimeomba maoni yako Kama mdau na mtanganyika muislam. Nini kifanyike kuondoa matatizo ya waislam Tanzania usikwepeshe tafadhari. Mwisho wa siku vizazi vitawalaumu kwa kushindwa kupata suluhu ya matatizo ya waislam wa Tanzania
Massa,
Ningekuwa mkwepaji nisingeandika kitabu cha Abdul Sykes.

Unaniuliza mimi nini kifanyike kwa nini huwaulizi wabunge ambao ndiyo wawakilishi wa umma?
 
Huyu mzee wangu wa Gerezani aangaliwe vizuri.

Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.

Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu,.

Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.

Maandishi yake yana udini ndani yake,mara nyingi huwa ndio agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasfiwa na mzee Kenyatta kumbe kItabu kinamsema vibaya,alitumia literature,ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.

Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee,aporwe tuzo alizowahi kupewa.

Kuna kitabu cha The Modern World Since 1870 by L Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.

Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi,ndio maana kipindi cha Nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
Uoga huu

onyesheni uongo wake kwa nyie kuandika ukweli mnaoujua.
 
Umempa attention asiyokua nayo binafsi sioni Cha kuhatarisha amani katika maaandishi yake wala hayana nguvu yeyote ya kuathiri fahamu za watu, humu Kuna kila aina ya watu wanaosoma maandishi yake wangeona yana impact yeyote bas wangeshamnyoa kipara kitambo sana

Ile historia ni ya familia yake tu ambayo yy kaamua kuandika kutunza kumbu kumbu zake kwa faida ya vizazi vyake bas lakini kwa mawanda ya kitaifa sidhani kama ni dili sana na Wala haina tija sana
Mohamed Said analilia kuwa wazazi wake hawakutajwa kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika!! This is absurd and totally nonsensical. Hsitory takes big picture only, not those trivials. Any way kama Waislamu wamempa tuzo kwa kuandika pumba its well and good kwa sababu hizo ndiyo wanapenda kusikiliza.

Nimetembea Senegal yenye Waislamu zaidi ya 95%, wala sikukuta Waislamu wenye roho za kulalamika kama huyu babu. Rais wa kwanza wa Senegal Leopold Sedar Senghor ni Mkristu na alitawala kwa muda mrefu kuanzia 1960 hadi 1980, na Waislamu walimpokea na kushirikiana naye. Senegal ni nchi ya mfano ya Waislamu ambao hawana itikadi ya ki -mujahedeen. Wanaswali vizuri bila kelele kwenye minarets zao, hawana shida na minorities Wakristu na nguruwe zao na wala huwezi kuuwakuta vijana wao kwenye operesheni za Al Shabab au Bokoharam. Ila huyu babu siyo wa kumuendekeza, akipata fursa ya kuvaa mabomu atakuja yavaa
 
Nadhan ili uweze kmtuhumu hivyo.na wewe ujitokeze tukujue .sasa ndio upimane ubavu wa kielimu na ki ilmu na mr mohamed.tumia i.d yako real.
Umempa kidonge cha maradhi yake.Ajitokeze tumjue na tuangalia kama ana chochote cha maana alichonacho na alichochangia kwa taifa.
 
Mohamed Said analilia kuwa wazazi wake hawakutajwa kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika!! This is absurd and totally nonsensical. Hsitory takes big picture only, not those trivials. Any way kama Waislamu wamempa tuzo kwa kuandika pumba its well and good kwa sababu hizo ndiyo wanapenda kusikiliza.

Nimetembea Senegal yenye Waislamu zaidi ya 95%, wala sikukuta Waislamu wenye roho za kulalamika kama huyu babu. Rais wa kwanza wa Senegal Leopold Sedar Senghor ni Mkristu na alitawala kwa muda mrefu kuanzia 1960 hadi 1980, na Waislamu walimpokea na kushirikiana naye. Senegal ni nchi ya mfano ya Waislamu ambao hawana itikadi ya ki -mujahedeen. Wanaswali vizuri bila kelele kwenye minarets zao, hawana shida na minorities Wakristu na nguruwe zao na wala huwezi kuuwakuta vijana wao kwenye operesheni za Al Shabab au Bokoharam. Ila huyu babu siyo wa kumuendekeza, akipata fursa ya kuvaa mabomu atakuja yavaa
Hzo kelele zake hazina madhara kama wengi tunavomfikiria, upuuzi naouona ni yy kutaka kutuaminisha ile ndo historia ya Tanganyika, uandishi wa historia sensitive kama ya taifa unaaangalia vitu vingi
 
Massa,
Ningekuwa mkwepaji nisingeandika kitabu cha Abdul Sykes.

Unaniuliza mimi nini kifanyike kwa nini huwaulizi wabunge ambao ndiyo wawakilishi wa umma?

Nitajie mbunge yeyote aliyoko bungeni kwa mgongo wa dini yake ili nimuulize? Na mimi nimekuhuliza maoni yako Kama muislam. History umeandika nzuri tu. Je kwenye hiyo history hukuona makosa yoyote ambayo ungetamani yafanyiwe marekebisho?
 
Anti...
Lakini mimi si mtu wa dini ingawa ni Muislam.

Eneo langu ni katika ''Scholarship,'' yaani elimu.

Kusoma, kusomesha na kuandika.

Haya si maeneo ya ''washabiki,'' na ''wafuasi.''

Hao utawapata kwengine.

Haya yangu ni maeneo ya elimu na utafiti.

Nitafute katika Cambridge Journal of African History (1998).

Nitafute katika Dictionary of African Biography (2011)
Nitafute katika Nyerere Biography (2020)

Je umeona dini hapo?

Kulikuwa na mjadala hapa JF uliodumu kwa miezi 6 nikisomesha historia hii.

Mjadala ulipitiwa na watu karibu milioni moja.

Haijapata kutokea.
Wewe ulikuwa wapi?

Anti...
Hakika wako wengi wasionijua ikiwa si wanachama wa ''clubs'' mfano wa hizo hapo juu na hapo chini lakini nafahamika hapa Dar es Salaam kwa kuwa ndiyo kwetu na kwa mengine mengi.

Ningependa kukufahamu.
Nani mwenzangu?

Mitaa niliyopata kuishi mimi inajieleza yenyewe:

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

Sal Davis An Autobiography, Readit 2023

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.


View attachment 2779538
Kwa Kweli umepanguaa kila kitu
 
Nitajie mbunge yeyote aliyoko bungeni kwa mgongo wa dini yake ili nimuulize? Na mimi nimekuhuliza maoni yako Kama muislam. History umeandika nzuri tu. Je kwenye hiyo history hukuona makosa yoyote ambayo ungetamani yafanyiwe marekebisho?
Massa,
Mimi kazi yangu ni kusomesha siyo kuingia katika malumbano.
 
Hzo kelele zake hazina madhara kama wengi tunavomfikiria, upuuzi naouona ni yy kutaka kutuaminisha ile ndo historia ya Tanganyika, uandishi wa historia sensitive kama ya taifa unaaangalia vitu vingi
Mpaji...
Naona mjadala unatoka kwenye staha unaingia kwenye "kelele."

Kitabu kipo mwaka wa 25 kimependwa na ndiyo sababu ya kuchapwa mara nne tunakwenda toleo la tano.

Mimi nilimaliza kazi yangu miaka 25 iliyopita.

Sina zaidi.

Baada ya kitabu cha Sykes nimeandika vitabu vingine kadhaa.

Kitabu changu cha mwisho, "Sal Davis An Autobiography," kimetoka mwezi uliopita.

Maisha yanaendelea.
Alhamdulilah.
 
Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.
Sasa nani amekwambia ili uwe Mwanahistoria lazima ujue Historia ya kila mahali ?

Unaweza kuwa Mjuzi wa Historia ya ukoo wenu tu, na ukaitwa Mwanahistoria.

Hujaona watu wanabobea katika Historia fulani tu na wakaitwa Wanahistoria ?
 
Sasa nani amekwambia ili uwe Mwanahistoria lazima ujue Historia ya kila mahali ?

Unaweza kuwa Mjuzi wa Historia ya ukoo wenu tu, na ukaitwa Mwanahistoria.

Hujaona watu wanabobea katika Historia fulani tu na wakaitwa Wanahistoria ?
Dah,hapo sawa
 
Tash...
Ukianza na huyu mzee najua umeghadhibika.
Hii ndiyo sababu unatukana.

Mimi si ''mpuuzi.''
Mimi sina chuki na yeyote.

Wala moyo wangu hauwaki moto.
Moto unawaka ndani ya nafsi yako wewe.

Ushahidi ndiyo huu: ''Huyu mzee,'' na kutukana, ''Mpuuzi,'' ''Flash.''
Haya si maneno ya adabu kumwambia mtu ambae unajua ni mzee.

Ningekuwa mpuuzi watu wasingejaa kwenye nyuzi zangu kunisoma na kujadiliana na mimi.

Tukiwaita watu watuhukumu si mimi nitakaevishwa kofia ya mpuuzi.
Bado kofia utavikwa wew kutokana na chuki yako kwa wakristo
 
Back
Top Bottom