AlistaafuKumbe ndio sababu ya kutumbuliwa ukuu wa mkoa.
Je kama mzee anamuhitaji?Hatapata Huyo. Kule Yupo Mollel Lakini Rejea Kauli Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Upo sawa, Mwanri akishinda ubunge lazima atapewa uwaziri.Hili nilikihisi mapemaaaa....
Na hapo uwaziri unamsubiri.
WatajibebaJe kama mzee anamuhitaji?
Mzee wa Toronto.
Dr.Mollel afanye kuandaa zizi la mbuzi.DAKTARI ajipangee wenyewe wanarudi
Chama kiliwapigania mkapata mlipotoka mkasema ohh juhudi zenu... Ndomana mnakamatwa na takukuru sahv
Ova
Kila la kheri mzee wa "Injinia Soma hiyoooo"Anataka siha iwe kama toronto
Maana ya kustaafu utumishi wa uma ni ipi?