Hapo ndio kuna kitim timWatajibeba
Nyakati Za Nyani Kumkana Mwanaye!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio kuna kitim timWatajibeba
Nyakati Za Nyani Kumkana Mwanaye!!!!
Hao Waliounga Mkono Njia Nyeupe, Hawa Ccm Asili Watasubiri KidogoWale waliounga mkono Juhudi c ndio watakuwa wagombea wa CCM? au Mm naona Mollel bado ana Nafasi ya Kuwa Mgombea wa CCM kuliko Mzee wa Toronto kwa hilo Jimbo la Siha.
Kweli hapo kauli ya Magufuli inaweza mletea jamaa shida ila Mwanri kwa sasa anayo fan base nzuri sana kwahiyo kama ukisema agombee kwa haki yeye na Moleli basi Moleli lazima apoteHatapata Huyo. Kule Yupo Mollel Lakini Rejea Kauli Ya
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Dk Mollel tokea awaambue jinsi mlivyopiga Lissu mnachukia sana jamaa. Hata akikosa ubunge wa kuchaguliwa atateuliwa na rais.Yule mkoma mwenye pua kama kibuyu atajibeba
Hapo sasa...Wale waliounga mkono Juhudi c ndio watakuwa wagombea wa CCM? au Mm naona Mollel bado ana Nafasi ya Kuwa Mgombea wa CCM kuliko Mzee wa Toronto kwa hilo Jimbo la Siha.
Viongozi Ninaowateua Waridhike Na Nafasi NinazowapaKweli hapo kauli ya Magu inaweza mletea jama shida ila mwandri kwa sasa anayo fan base nzuri sana kwahiyo kama ukisema agombe kwa haki yeye na moleli basi moleli lazima apote
Ubunge sio siasa?Kutafuta fursa ya utumishi kwenye siasa.
kweli kabisa. ila mbona kama kunaonekana kuwa na mkanganyiko thidi ya kauli ya JPM au wewe apo wazo lako likoje?Hili nilikihisi mapemaaaa....
Na hapo uwaziri unamsubiri.
ubunge sio siasa?
Hiyo ilikuwa chaguzi za marudio sio huu uchaguzi mkuu. Wasaliti ni sawa na ng'ombe alie katwa mkia. Ndio mwisho wa Mollel kwenye siasa.Sasa mbona anakiuka maagizo ya viongozi wa chama chake kwamba kwenye majimbo yote ya wale waliounga juhudi asijitokeze mwingine wa kugombea??!!
Minaamini ametumwa na mkubwa wake.kweli kabisa. ila mbona kama kunaonekana kuwa na mkanganyiko thidi ya kauli ya JPM au wewe apo wazo lako likoje?