Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,164
- 2,968
Kwann haumpendi Mollel.??Yule kichaa Mollel ategemee huruma na udikteta wa jiwe tu Basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann haumpendi Mollel.??Yule kichaa Mollel ategemee huruma na udikteta wa jiwe tu Basi
Sio akishinda, sema atashinda na kisha ataongezewaUpo sawa, Mwanri akishinda ubunge lazima atapewa uwaziri.
Kwakweli, hajuwahi kumkwaza mkuu wakati wote wa utumishi wake kama RCMzee wa Toronto.
Mwanri hakutumbuliwa mkuu...Kumbe ndio sababu ya kutumbuliwa ukuu wa mkoa.
Mkuu, ogopa sana siasa aiseeeeeHatapata Huyo. Kule Yupo Mollel Lakini Rejea Kauli Ya
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mkuu umenichekesha sanaKipara ngoto ajiandae kwenda kuchunga mbuzi.
Sio tena mtumishi wa uma.Maana ya kustaafu utumishi wa uma ni ipi?
Alifanywaje mkuu, usinambie alistaafu maana kuna nyuzi humu zinaeleza kua alikua tayari kastaafu utumishi wa uma kabla ya kuteuliwa kua mkuu wa mkoa.Mwanri hakutumbuliwa mkuu...
Wao wanaziita mbusiKipara ngoto ajiandae kwenda kuchunga mbuzi.
Usimuamini mwanasiasa ambae yupo haikweli kabisa. ila mbona kama kunaonekana kuwa na mkanganyiko thidi ya kauli ya JPM au wewe apo wazo lako likoje?
Na wewe uliamini amestaafu ?Maana ya kustaafu utumishi wa uma ni ipi?
Kuna kustaafu utumishi wa uma. Kuna kustaafu kwenye nafasi alio teuliwa.Alifanywaje mkuu, usinambie alistaafu maana kuna nyuzi humu zinaeleza kua alikua tayari kastaafu utumishi wa uma kabla ya kuteuliwa kua mkuu wa mkoa.
Hii issue ya Takukuru imeharibu image sanaDAKTARI ajipangee wenyewe wanarudi
Chama kiliwapigania mkapata mlipotoka mkasema ohh juhudi zenu... Ndomana mnakamatwa na takukuru sahv
Ova
Sasa kwa taarifa yako Mwanri ana miaka 63,bado miaka miwili astaafu kwa lazima. Alie pelekwa kuchukua nafasi ya Mwanri yuko over 65yrs. Ujue huo ni mkaakati Mwanri kwenda kugombea Siha.z
Wananchi wa Siha watakuwa wapumbavu kuwapa ajira watu waliostaafu.
Huyu mzee toka Nyerere mpaka leo yupo serikalini anakula mafao kuanzia wizara moja hadi nyingine wakati kuna wana SIHA wengi wamehitimu na hawana ajira hata ya kwanza, mwanaume mzima na vuzi zake yupo nyumbani anagongea msosi na dada zake kisa hakuna ajira alafu uje umpe mtu ubunge kisa tu ni fulani, hapana.
Mwanri mapema sanaHii issue ya Takukuru imeharibu image sana
Alishawahi kufanya Kazi ya professional ykeDr.Mollel afanye kuandaa zizi la mbuzi.
Usiwe muongo Dr Philemon Sengati hata miaka 50 tu hajafika..Sasa kwa taarifa yako Mwanri ana miaka 63,bado miaka miwili astaafu kwa lazima. Alie pelekwa kuchukua nafasi ya Mwanri yuko over 65yrs. Ujue huo ni mkaakati Mwanri kwenda kugombea Siha.