Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Nyinyi na nani?Ni mapendeleo tu, mwanamke akisema hapendi mwanaume asiye na pesa/mwenye kitambi ni sawa,
Ila sisi tukisema hatutaki mabapa sio sawa? Tako lazima liwepo hata la uchokozi.
Watu wameelewa, ila wameamua kutumia fursa hii kujadili matako.Hiv mm ndo sielewi au watu wengi humu jukwaani wakishasoma heading tu wanaanza kuchangia!!?
Wachangiaji wengi kumbe tuko nje ya madaHiv mm ndo sielewi au watu wengi humu jukwaani wakishasoma heading tu wanaanza kuchangia!!?
mmh laaha thana kwanza unayoleweka na mafta mmmh thiwez kueledhea laha yake ubongo lazima utikisikewewe hupendi kuyaminya minya mkuu?
unafki ni ushamba ujue
Hivi karibuni niliona mwanamke ana matiti makubwa, kibaya zaidi ni mlinzi amevaa suruali na gwanda aaah hadi nilimhurumia...utafiki amewabebea wengine matitiKwa nini mnadhani ni upasuaji wa makalio? Kuna deformation nyingi sana kwa binadamu zinazohitaji surgery. Niliwahi kuishi nchi fulani na wana utaratibu wa kufanya surgery ya kupunguza matiti kwa wanawake wote wa nchi husika bure. Yaani ni bure na mwanamama halipi chochote. Ila inafanyika kwa wale ambao wana matiti makubwa kupitiliza na ambayo yanasababisha mwanamke aishi maisha ya shida kwa sababu ya ukubwa wa maziwa. Wanaume wengi hatujii kero ya wanawake wenye maziwa makubwa kupitiliza lakini ukweli ni kwamba wana-strangle kuishi maisha ya raha kama binadamu wengine.
MWANAMKE MJINGA NI TATIZO NA MWANAMAKE ASIE NA TAKO ILE KABISA KABISA NAYE NI TATIZO PIA. AKIWA NA YOTE NI MATATIZO SQUARE ROOT TABLE 130000Mgeuze na mbele usoni tuone.
1. Akiwa na akili
2. Usoni mrembo
Nataka nini zaidi?
Ukikua utanielewa, epuka mwanamke mjinga ni janga kuliko Hamas
Alafu hayana matumizi ktk 6x6.. ni kero tu.Taco halina masna yoyote.
Ninasikitika kusema 75% ya wenye matako makubwa ni zero brain.
Mimi hisia zangu zipo kwa ke mwenye akili, taco ni bonus tu kama lipo.
Ogopa kudate mwenye taco na ni zerò brain
Ni shida ambazo huku kwetu Afrika mama inabidi aivumilie maisha yake yote. Mika ya nyuma huko vijijini kuna mama mmoja alikuwa na matiti makubwa kweli kweli na kila alipokuwa anakwenda alikuwa anaweka kanga kuyafunika. Nilikuwa namuona mara kwa mara akitoka shambani kulima, huku akiwa amebeba mzigo kichwani.Hivi karibuni niliona mwanamke ana matiti makubwa, kibaya zaidi ni mlinzi amevaa suruali na gwanda aaah hadi nilimhurumia...utafiki amewabebea wengine matiti
Daktari Mwandamizi wa Upasuaji wa Aga Khan, Dk Athar Ali amesema programu hiyo ambayo kwa mwaka huu ni ya nane tangu kuanza kwake inalenga kurejesha utendaji wa kimwili ili kuwezesha na kuboresha maisha ya wanawake na wasichana wa Tanzania.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lakini kwanini mambo haya yamekuja ghafla hivi?
Taarifa kamili hii hapa.
=====
Hospitali ya Aga Khan kwa kushirikiana na Shirika la Reconstructing Women International (RWI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili, inatarajia kufanya upasuaji kurekebisha maumbile kwa wanawake na wasichana 25 kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Upasuaji huo utakuwa bure na unatarajia kuanza kesho Jumanne Novemba 28 hadi Desemba 2, 2023 ukiwa na lengo la kurejesha uwezo wa kutembea kwa watu ambao wanamatatizo yaliyotokana na majeraha makubwa ya moto, ajali za barabarani kasoro za kimwili na wahanga wa ukatili wa kijinsia.
Upasuaji utasimamiwa na timu ya madaktari wa kimataifa wa upasuaji wa kurekebisha maumbile kutoka Marekani, Canada, na Ulaya wakishirikiana na madaktari wa Hospitali za Aga Khan Dar es Salaam, Muhimbili, Bugando, na Mnazi Mmoja ya Zanzibar.
Daktari Mwandamizi wa Upasuaji wa Aga Khan, Dk Athar Ali amesema programu hiyo ambayo kwa mwaka huu ni ya nane tangu kuanza kwake inalenga kurejesha utendaji wa kimwili ili kuwezesha na kuboresha maisha ya wanawake na wasichana wa Tanzania.
Sampling n experimentsAga khan wanavyopenda pesa leo wawe bureee kweli?
Ukiona unaitwa kwenye fursa tambua wewe ndie fursa yenyewe
Ile ni kwa ajili ya makapukuIle batch ya Mloganzila vipi, imeshafika mikoani?
Oooh huruma sanaNi shida ambazo huku kwetu Afrika mama inabidi aivumilie maisha yake yote. Mika ya nyuma huko vijijini kuna mama mmoja alikuwa na matiti makubwa kweli kweli na kila alipokuwa anakwenda alikuwa anaweka kanga kuyafunika. Nilikuwa namuona mara kwa mara akitoka shambani kulima, huku akiwa amebeba mzigo kichwani.
Hili sikupingi hata kidogo. Ni wachache sana wenye makubwa halafu wanajiheshimu. Sijui ni kwa nini. Mimi huwa nadhani ni kwa sababu tangu wakiwa wadogo wanaanza kuchokozwa, kutaniwa, kupapatikiwa na kufanyiwa kila aina ya ghasia hivyo wanajikuta wakiwaza maumbile yao muda wote na kuona ni kama mtaji wa maisha. Hivyo hivyo hata kwa wanawake pisi kali.Taco halina masna yoyote.
Ninasikitika kusema 75% ya wenye matako makubwa ni zero brain.
Mimi hisia zangu zipo kwa ke mwenye akili, taco ni bonus tu kama lipo.
Ogopa kudate mwenye taco na ni zerò brain
Matumizi yapo sema wewe huyajui😂Alafu hayana matumizi ktk 6x6.. ni kero tu.
Raha uyaangalie tu ila ktk matumizi kama matumizi ni useless
Amekudanganya nani?😂ni useless hayana matumizi kabisa mkuu
Sijui wanayapendea nini