ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mkeo atakua na mtihani sanaaa😂 kila kitu wewe ni akiliAmekudanganya nani?
Taco linapanfisha mzuka lkn liwe taco la mwenye akili eboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeo atakua na mtihani sanaaa😂 kila kitu wewe ni akiliAmekudanganya nani?
Taco linapanfisha mzuka lkn liwe taco la mwenye akili eboo
Ninamuogopa mwanamke mpumbavu kama ukoma.Mkeo atakua na mtihani sanaaa😂 kila kitu wewe ni akili
Hii kitu nime-experience sana. Upstairs 'slim figures' wako vizuri kuliko hii 'mizigo ya kipozeo'. Sijui kuna uhusiano gani kisayansi.Taco halina masna yoyote.
Ninasikitika kusema 75% ya wenye matako makubwa ni zero brain.
Mimi hisia zangu zipo kwa ke mwenye akili, taco ni bonus tu kama lipo.
Ogopa kudate mwenye taco na ni zerò brain
Ile ya Kahama ilikupa funzo?Hii kitu nime-experience sana. Upstairs 'slim figures' wako vizuri kuliko hii 'mizigo ya kipozeo'. Sijui kuna uhusiano gani kisayansi.
Uphiraji.Matumizi yapo sema wewe huyajui😂
Sio kwamba sipendi taco..Unawaponza wenzako wasichague taco kumbe wewe demu wako analo😂
Kwani ukinijibu napata maokoto? Shenzi kabisa! Eboo! 🥴🥴🥴Huwa simjibu mtu anayeongea upumbavu.
🤣Sidhani kama Evelyn amebeba kiasi cha kuwekwa kundi hili. Kwa wengine wengi niliopita nao, nimeona hili.Ile ya Kahama ilikupa funzo?
Wenye taco bila ajili wanasumbua sana mkuu
Ndio ukae ukijua akili za wanaume wengi wa Tanzania zinawaza makalio tu.Shida ya watz,mkishasoma heading tu mnajazia yenu bila kujua content imesema Nini.
Hawafanyi mambo kuongeza maumbile sijui matako..wanafanya kurekebisha maumbile
Kuna operations za urembo ndo hizo kuongeza shepu,kurekebisha pua,kubana tumbo nk.
Na Kuna op tiba, hizi unakuta labda mtu aliokolewa ajali ya moto,kaungua vibaya ila alivyopona nyama zimeakaa vibaya na makovu
Mfano mwingine mtu kamwagiwa tindikali
Mwingine unakuta kapitia unyanyasaji kakatwa mapanga
Mwingine kazaliwa na kasoro ila Kwa kukosa pesa kashindwa kumudu op
Watu kama hao ndio mfano
Wapo wanaume wengi tu wenye hayo matatizo, lakini kuhusiana na hili la sasa;Asante kwa masahihisho , swali dogo la nyongeza , hivi hakuna wanaume walioungua moto na wao warejeshwe kwenye hali ya kawaida ?