Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Basi tafuta mtaji kwanza
Ukifungua ofisi... Inakuwa biashara
Ushuru utaongezeka.. Na gharama zitaongezeka
Pia utanihitaji mm nizinunue ndio uje uchukue (Mtaji kikwazo)

Kinachofanyika hapa ni Simu unaagiza inakuwa inasafirishwa kama bidhaa ya matumiz yako binafsi.. Ndo maana bei zinapoaaa
 
Acha uongo, siku mija hadi tatu haiwezekani. Bos wewe kuwa mkweli tu. Hapo ni siku 7 na kuendelea.

Isitoshe inaonekana unaongea na wanaofanya kazi airport labda. Mzigo ukishuka airport kuna taratibu za kuutoa siyo kama maandazi.

Ukiutoa hapo tufanye mimi niko Tunduru, nitaupata mzigo kwa siku 3 kweli?

Wabongo uongo mwingi kuliko ukweli.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nipo shipping company..so najua ninachokifanya
Yaani dubai ndege iwe siku 7 mkuu hapana
simu ikipekwa leo jioni..saa 8 usiku inaondoka na ndege
kesho asubuhi simu ipo dar
hapo zinakuwa siku ngapi?
 
Nipo shipping company..so najua ninachokifanya
Yaani dubai ndege iwe siku 7 mkuu hapana
simu ikipekwa leo jioni..saa 8 usiku inaondoka na ndege
kesho asubuhi simu ipo dar
hapo zinakuwa siku ngapi?
Niko Dodoma mkuu, nataka nifanye majaribio na hiyo S8 kwanza. Nikiipata nitaagiza iphone 11 Pro.

Utaratibu wa kuipata hapa Dom unakuaje?
 
Niko Dodoma mkuu, nataka nifanye majaribio na hiyo S8 kwanza. Nikiipata nitaagiza iphone 11 Pro.

Utaratibu wa kuipata hapa Dom unakuaje?
wasiliana na ofisi dar 0654156671
utaratibu ni kulipia kisha simu inaagizwa
ofisi ipo Manzese Argentina
 
Shida inaanzia hapo. Kununua kabla ya kuona mzigo.

Kwanini usilete mzigo Dar auone alipie aondoke nao.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
ni utaratibu tu boss hatuwezi serve watu wote..wale wanaoridhia huu utaratibu..tunawahudumia..
sisi sio wafanyabiashara sisi ni shipping company
yapo maduka na wafanyabiashara ambao ukienda unaona simu zilizopo unachagua unaondoka nayo.
sisi tunapromote biashara ya uagizaji na usafirishaji
 
Google pixel 4a gb128 storage 270,000
Google pixel xl gb 128 storage 350,000
 
Mr. iPhone 14 Pro 256 gb used purple color bei gani?
 
HIZI NI BEI KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA
Unaweza Agiza Hata kwa Pisi 1

IPHONE

iphone 6-16gb = 130,000
iphone 6-32gb = 150,000
iphone 6-64gb = 170,000
iphone 7 128gb = 250,000
iphone 7 PLUS 128gb = 350,000
iphone 8 64gb = 320,000
iphone 8 256gb = 380,000
iphone 8 PLUS 64gb = 440,000
iphone 8 PLUS 256gb = 490,000
iphone X 64gb = 490,000
iphone X 256gb = 550,000
iphone XS 256gb = 630,000
iphone XR 64gb = 540,000
iphone XR 128gb = 590,000
iphone XS MAX 256gb =750,000
iphone 11 64gb = 720,000
iphone 11 128gb = 810,000
iphone 11 PRO 256gb = 1,000,000
iphone 11 PRO MAX 256gb = 1,070,000
iphone 12 pro 128gb = 1,250,000
iphone 12 PRO 256gb = 1,400,000
iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,650,000
iphone 13 PRO MAX 256gb = 2,400,000
iphone 13-128gb = 1,500,000
iphone 13 pro 256gb = 2,100,000

SAMSUNG
J7 PRIME ram 3 / 16gb = 130,000
J7 PRIME 2 ram 3 / 32gb = 150,000
A10E ram 3 / 32gb = 150,000
A20 ram 3 / 32gb = 165,000
A50 2sim = 210,000
A12 ram 3/32gb = 190,000
A21S ram3/32gb = 220,000
A31 ram4/128gb = 220,000
A32 ram 4/128gb = 240,000
A750 ram 4/64gb = 200,000
A51 256gb = 320,000
A51 4g 2sim = 280,000
A9 PRO ram 6/128 gb = 250,000
A90 5G ram 6/128 gb = 280,000
A82 ram 4/128 gb = 470,000
A23 5g ram 4/128 gb = 350,000
M23 ram 4/128 gb = 320,000
A22 5g ram 4/128 gb = 300,000
S7 EDGE ram 4/32 gb 2sim = 170,000
S8 ram 4/64gb = 230,000
S8 PLUS ram 4/64gb = 270,000
S9 ram 4/64gb = 250,000
S9 PLUS ram 6/64gb = 290,000
S10 ram 8/128gb = 380,000
S10E ram 6/128gb = 250,000
S10 PLUS ram 8/128gb = 450,000
S10 5G ram 8/256gb = 480,000
S20 ram 12/128gb = 400,000
S20 PLUS ram 12/128gb = 450,000
S20 ULTRA ram 12/128gb = 550,000
S21 ram ram 8/128gb = 600,000
S21 PLUS ram 8/128gb = 630,000
S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,100,000
S21 ULTRA ram 12/128gb = 900,000
S22 ULTRA 256gb = 1,600,000
S22 ultra 128gb = 1,500,000

SAMSUNG NOTE
NOTE 8 ram 6/64gb = 300,000
Note8 2sim = 320,000
NOTE 9 ram 6/128gb = 350,000
N9 1sim = 350,000
NOTE 10 256gb = 450,000
NOTE 10 PLUS 12/256gb = 570,000
NOTE 20 ram 12/128gb = 500,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 1,100,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 850,000

DOT PHONES
(SAMSUNG ZENYE VIDOT VIDOGO VYEUSI KWENYE KIOO ILA ZINAFANYA KAZI VIZURI TU )

S8 = 150,000
S8 PLUS = 180,000
S9 = 210,000
S9 PLUS = 240,000
S10 5G = 380,000
S10E = 250,000
S10 = 270,000
S10 PLUS = 290,000
S20 = 350,000
S20 PLUS = 400,000
S20 ULTRA = 450,000
S21 ULTRA = 650,000
NOTE 8 = 250,000
NOTE 9 = 300,000
NOTE 10 = 350,000
NOTE 10 PLUS = 450,000
NOTE 20 ULTRA = 600,000

VIVO
VIVO Y17 ram 6/128gb = 180,000
VIVO Y19 ram 6/256gb = 220,000
VIVO Y20S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y21S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y67 ram 4/128gb = 100,000
VIVO Y85 ram 4/128gb = 120,000
VIVO Y93 ram 6/128gb = 120,000
Y66 ram 4/64gb = 70,000

HUWAEI

HUAWEI Y8s ram 4/128gb = 200,000
HUAWEI Y7 PRO ram 4/64gb = 160,000
HUAWEI P30 LITE ram 4/128gb = 250,000
HUAWEI P20 LITE ram 4/128gb = 190,000
HUAWEI P10 LITE ram 4/64gb = 130,000
HUAWEI NOVA 3i ram 6/128gb = 190,000
HUAWEI NOVA 2 PLUS ram 4/128gb = 170,000

OPPO
OPPO A57 = 100,000
OPPO F1S = 100,000
OPPO F11 ram 4/128gb = 230,000
F9 PRO ram 6/128gb = 190,000
Oppo A83 ram 6/128gb = 100,000


REDMI

MI Max 2 ram 4/64gb = 150,000
REDMI NOTE 4X ram 4/64gb = 120,000
REDMI PLAY ram 4/64gb = 150,000

SONY
XZ1 COMPACT ram 4/32gb = 110,000
XZS ram 4/32gb = 130,000
XZ ram 3/32 gb = 120,000
XPERIA 8 ram 4/64gb = 190,000
Z1 COMPACT ram 4/32gb = 120,000
X PERFORMANCE ram 3/32gb = 110,000
XZ2 ram 4/64gb = 180,000
XZ PREMIUM ram 4/64gb = 170,000
XZ3 ram 4/64gb = 210,000
URBANO KY V45 ram 4/64gb = 250,000

KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO

WHATSAPP +971 58 2640133
CALL/SMS 0654 156671 (Agent aliyepo Dar es Salaam)

SIMU TUNASAFIRISHA KWA NJIA YA NDEGE NDANI YA SIKU 1 - 3 TU USHAPATA SIMU YAKO
NITAKUAGIZIA KWA UAMINIFU MKUBWA

Kwa wanaohitaji laptop na ipad..nitaleta mkeka wa bei zake soon...
Ila unaweza kuulizia bei ya kifaa chochote nikakupatia.. (ELECTRONIC DEVICE TU)
hizi bei ni za kariakoo kabisa boss labda nakosea. zoezi la winga hili kabisa 😂
 
Samsung Galaxy S10 Ni Ya Line Ngapi Unayoiuza
 
Back
Top Bottom