Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Haupati popote kwa Bei hii?? Dogo una marketing ya kifala sana
Hahaha anatupiga mkwara

1000110075.png
 
Eti umeend Facebook marketplace na kusearch 4 xl.....
Hujui hata zina gb ngapi ukakurupuka kuja kucomment

Haya ngoja nikufundishe basi hapo mbele malizia na 128gb
Zikitokea hizo za 350 nakutumia muamala sasa hiv

Nasubiria screenshot yakoo
 
Haupati popote kwa Bei hii?? Dogo una marketing ya kifala sana
Naona winga wa kariakoo umemind nimeharibu biashara yako

Sasa hasira za nini mkuu
Simu bei nimeweka mimi
Wewe unawashwaa..

Tuambie unachotak wanaume tukusaidie
 
Mwenye ushuhuda kutoka katika hii mada anakalibishwa......kueleza jinsi mzigo alivyoupata
 
UNYAMA HUU HAPA
MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Sony xperia 5 mark ii
Ram 6gb
Storage 64gb
280,000 TU
IMG_20230811_092455.jpg
IMG_20230811_092515.jpg
IMG_20230811_092530.jpg
 
Napenda kutoa taarifa.
Leo tarehe 11-8-2023 ijumaha nimetoka manzese Argentina kufanya malipo ya simu Google pixel 5 GB 128 used like new quality ni A++.
Nimefika mpk ofisini/nyumbani kwao na kukutana na ndugu yake Mr. Yusuph. Ndio kapokea pesa kwa niaba ya huyu ndugu yetu alioko DUBAI.
Hivi sasa nasubilia simu tajwa hapo juu mpk next week ndio itakua imefika tanganyika.
Naomba kuwasilisha.
Asante.
 
Napenda kutoa taarifa.
Leo tarehe 11-8-2023 ijumaha nimetoka manzese Argentina kufanya malipo ya simu Google pixel 5 GB 128 used like new quality ni A++.
Nimefika mpk ofisini/nyumbani kwao na kukutana na ndugu yake Mr. Yusuph. Ndio kapokea pesa kwa niaba ya huyu ndugu yetu alioko DUBAI.
Hivi sasa nasubilia simu tajwa hapo juu mpk next week ndio itakua imefika tanganyika.
Naomba kuwasilisha.
Asante.
Nitafurah sana siku hiyo (jumatano) utakayo pokea Simu yako
Uje kutoa ushuhuda hapa
Kuwaondolea wengine wasiwasi walionao
 
Ukiweka bei ya laptop unitag tafadhali
Laptop zina model tofauti tofauti na specification pia zinatofautiana

Nipe specification zako za Laptop utakayo... Nikupe bei yakr
 
OFFA OFFA OFFA KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA KIGANJANI MWAKO
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
IMG_20230812_123749.jpg

Samsung S22 ultra
Ram 12 storage 256
Dual line (laini 2)
Yaani ni mpyaa kasoro box
Hii ni DUBAI GRADE A+
BEI YA OFFA 1,400,000 TU
ZIMEBAKI 2 TU ZA BEI HII
AGIZA SASA KUTOKA DUBAI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Whatsapp +971582640133 (yangu Dubai)
Call /sms 0654156671 (namba ya Ofisi dar)
SIMU UTAIPATA JUMATANO (16-08-2023)
 
Ofa kutoka Dubai moja kwa moja kiganjani mwako.

IMG_20230812_123749.jpg

Samsung S22 ultra
Ram 12 storage 256
Dual line (laini 2)
Yaani ni mpyaa kasoro box
Hii ni DUBAI FEADE A+
BEI YA OFFA 1,400,000 TU
ZIMEBAKI 2 TU ZA BEI HII
AGIZA SASA KUTOKA DUBAI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Whatsapp +971582640133 (yangu Dubai)
Call /sms 0654156671 (namba ya Ofisi dar)

Tembelea uzi wanguu huu kujionea zaidi bei za simu

 
Back
Top Bottom