Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Acha uongo, siku mija hadi tatu haiwezekani. Bos wewe kuwa mkweli tu. Hapo ni siku 7 na kuendelea.

Isitoshe inaonekana unaongea na wanaofanya kazi airport labda. Mzigo ukishuka airport kuna taratibu za kuutoa siyo kama maandazi.

Ukiutoa hapo tufanye mimi niko Tunduru, nitaupata mzigo kwa siku 3 kweli?

Wabongo uongo mwingi kuliko ukweli.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hivi watanzania kwa nini tuko hivi? Wewe ushawahi kuagiza mzigo Dubai? Au umekariri?. Sometimes ni vizuri sana kukaa kimya kuliko kuwa mjuaji.
 
USHAURI WA BUREE!
Anza kwa mtaji mdogo mkuu leta mzigo mdogo hata pisi 5 tu kwa pesa yako tukisha nunua faida na mtaji ongeza mzigo hata pisi 7 hivyo hivyo hadi utafikia kuleta container la simu.
Lakin biashara ya kupokea peaa kwanza halafu ndo mzigo ufuate imepitwa na wakati
Anasema hana mtaji na wala yy hafanyi biashara ni msaada tu....afu yupo dubei
 
Nipo shipping company..so najua ninachokifanya
Yaani dubai ndege iwe siku 7 mkuu hapana
simu ikipekwa leo jioni..saa 8 usiku inaondoka na ndege
kesho asubuhi simu ipo dar
hapo zinakuwa siku ngapi?
Upo shipping company afu huna mtaji....ahahahaa

Unakwepa risks kwa kuwafanya watu risk taker...
 
HIZI NI BEI KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA
Unaweza Agiza Hata kwa Pisi 1

IPHONE

iphone 6-16gb = 130,000
iphone 6-32gb = 150,000
iphone 6-64gb = 170,000
iphone 7 128gb = 250,000
iphone 7 PLUS 128gb = 350,000
iphone 8 64gb = 320,000
iphone 8 256gb = 380,000
iphone 8 PLUS 64gb = 440,000
iphone 8 PLUS 256gb = 490,000
iphone X 64gb = 490,000
iphone X 256gb = 550,000
iphone XS 256gb = 630,000
iphone XR 64gb = 540,000
iphone XR 128gb = 590,000
iphone XS MAX 256gb =750,000
iphone 11 64gb = 720,000
iphone 11 128gb = 810,000
iphone 11 PRO 256gb = 1,000,000
iphone 11 PRO MAX 256gb = 1,070,000
iphone 12 pro 128gb = 1,250,000
iphone 12 PRO 256gb = 1,400,000
iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,650,000
iphone 13 PRO MAX 256gb = 2,400,000
iphone 13-128gb = 1,500,000
iphone 13 pro 256gb = 2,100,000

SAMSUNG
J7 PRIME ram 3 / 16gb = 130,000
J7 PRIME 2 ram 3 / 32gb = 150,000
A10E ram 3 / 32gb = 150,000
A20 ram 3 / 32gb = 165,000
A50 2sim = 210,000
A12 ram 3/32gb = 190,000
A21S ram3/32gb = 220,000
A31 ram4/128gb = 220,000
A32 ram 4/128gb = 240,000
A750 ram 4/64gb = 200,000
A51 256gb = 320,000
A51 4g 2sim = 280,000
A9 PRO ram 6/128 gb = 250,000
A90 5G ram 6/128 gb = 280,000
A82 ram 4/128 gb = 470,000
A23 5g ram 4/128 gb = 350,000
M23 ram 4/128 gb = 320,000
A22 5g ram 4/128 gb = 300,000
S7 EDGE ram 4/32 gb 2sim = 170,000
S8 ram 4/64gb = 230,000
S8 PLUS ram 4/64gb = 270,000
S9 ram 4/64gb = 250,000
S9 PLUS ram 6/64gb = 290,000
S10 ram 8/128gb = 380,000
S10E ram 6/128gb = 250,000
S10 PLUS ram 8/128gb = 450,000
S10 5G ram 8/256gb = 480,000
S20 ram 12/128gb = 400,000
S20 PLUS ram 12/128gb = 450,000
S20 ULTRA ram 12/128gb = 550,000
S21 ram ram 8/128gb = 600,000
S21 PLUS ram 8/128gb = 630,000
S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,100,000
S21 ULTRA ram 12/128gb = 900,000
S22 ULTRA 256gb = 1,600,000
S22 ultra 128gb = 1,500,000

SAMSUNG NOTE
NOTE 8 ram 6/64gb = 300,000
Note8 2sim = 320,000
NOTE 9 ram 6/128gb = 350,000
N9 1sim = 350,000
NOTE 10 256gb = 450,000
NOTE 10 PLUS 12/256gb = 570,000
NOTE 20 ram 12/128gb = 500,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 1,100,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 850,000

DOT PHONES
(SAMSUNG ZENYE VIDOT VIDOGO VYEUSI KWENYE KIOO ILA ZINAFANYA KAZI VIZURI TU )

S8 = 150,000
S8 PLUS = 180,000
S9 = 210,000
S9 PLUS = 240,000
S10 5G = 380,000
S10E = 250,000
S10 = 270,000
S10 PLUS = 290,000
S20 = 350,000
S20 PLUS = 400,000
S20 ULTRA = 450,000
S21 ULTRA = 650,000
NOTE 8 = 250,000
NOTE 9 = 300,000
NOTE 10 = 350,000
NOTE 10 PLUS = 450,000
NOTE 20 ULTRA = 600,000

VIVO
VIVO Y17 ram 6/128gb = 180,000
VIVO Y19 ram 6/256gb = 220,000
VIVO Y20S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y21S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y67 ram 4/128gb = 100,000
VIVO Y85 ram 4/128gb = 120,000
VIVO Y93 ram 6/128gb = 120,000
Y66 ram 4/64gb = 70,000

HUWAEI

HUAWEI Y8s ram 4/128gb = 200,000
HUAWEI Y7 PRO ram 4/64gb = 160,000
HUAWEI P30 LITE ram 4/128gb = 250,000
HUAWEI P20 LITE ram 4/128gb = 190,000
HUAWEI P10 LITE ram 4/64gb = 130,000
HUAWEI NOVA 3i ram 6/128gb = 190,000
HUAWEI NOVA 2 PLUS ram 4/128gb = 170,000

OPPO
OPPO A57 = 100,000
OPPO F1S = 100,000
OPPO F11 ram 4/128gb = 230,000
F9 PRO ram 6/128gb = 190,000
Oppo A83 ram 6/128gb = 100,000


REDMI

MI Max 2 ram 4/64gb = 150,000
REDMI NOTE 4X ram 4/64gb = 120,000
REDMI PLAY ram 4/64gb = 150,000

SONY
XZ1 COMPACT ram 4/32gb = 110,000
XZS ram 4/32gb = 130,000
XZ ram 3/32 gb = 120,000
XPERIA 8 ram 4/64gb = 190,000
Z1 COMPACT ram 4/32gb = 120,000
X PERFORMANCE ram 3/32gb = 110,000
XZ2 ram 4/64gb = 180,000
XZ PREMIUM ram 4/64gb = 170,000
XZ3 ram 4/64gb = 210,000
URBANO KY V45 ram 4/64gb = 250,000

KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO

WHATSAPP +971 58 2640133
CALL/SMS 0654 156671 (Agent aliyepo Dar es Salaam)

SIMU TUNASAFIRISHA KWA NJIA YA NDEGE NDANI YA SIKU 1 - 3 TU USHAPATA SIMU YAKO
NITAKUAGIZIA KWA UAMINIFU MKUBWA

Kwa wanaohitaji laptop na ipad..nitaleta mkeka wa bei zake soon...
Ila unaweza kuulizia bei ya kifaa chochote nikakupatia.. (ELECTRONIC DEVICE TU)
Mnyama Google Pixel sijamuona kabisa
 
Mnyama Google Pixel sijamuona kabisa
pixel 3A 64GB - 250,000

pixel 3XL 64GB - 290,000

pixel 3XL 128GB - 320,000

pixel 4 128GB - 350,000

pixel 4A 128GB - 390,000

pixel 4A 5g 128GB - 390,000

pixel 4XL 64GB - 390,000

pixel 4XL 128GB - 440,000

pixel 5 128GB - 450,000

pixel 5A 128GB - 500,000

pixel 6 128GB - 690,000

pixel 6A 128GB - 720,000

pixel 6A PRO 128GB - 950,000
 
Iphone 12 Mini napata kwa sh ngapi? na utaratibu wa malipo upoje pamoja na muda wa kuipata simu?
pixel 3A 64GB - 220,000

pixel 3XL 64GB - 260,000

pixel 3XL 128GB - 280,000

pixel 4 128GB - 300,000

pixel 4A 128GB - 340,000

pixel 4A 5g 128GB - 350,000

pixel 4XL 64GB - 320,000

pixel 4XL 128GB - 380,000

pixel 5 128GB - 400,000

pixel 5A 128GB - 420,000

pixel 6 128GB - 630,000

pixel 6A 128GB - 650,000

pixel 6A PRO 128GB - 920,000
Mkuu bidhaa nyingine kama Tv na projector nazo unadeal nazo au ni simu tu?
 
Tuliwahi pigwa humu humu JF na jamaa alliikuwa anauza Vitu vya electronics toka Europe na nchi za Kiarabu alidai ana ofisi Kigamboni kumbe feck. Jamaa alikuwa na jina la Kihaya.
Pole na masahibu yaliyokukuta
Karibu ofisini
Manzese Argentina
0654156671
 
Yes siyo mimi, ila inakera sana watu kuanza maswali na comments za kumkatisha mtu tamaa, jamaa kaweka kila kitu humu kwa nini wasipige hizo simu kufanya mawasiliano au kujiridhisha kwa namna nyingine kuliko kuanza kumshambulia hadi kumwita tapeli? Mbona ebay, Ali Express watu wananunua vitu bila hata kujua ofisi zilipo?
Watz tuna roho mbaya mnoo, basi tu.
Wewe pimbi kweli. Wizi mkubwa siku hizi unafanyika kwa kupiga simu.

So simu siyo msaada wa usalama wa mali zetu. Utaongea nae, akishatupiga anatupa line, halafu unapishana nae mtaani tu.

Huenda anatumia jina la marehemu babu. Tutajuaje?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza akikuletea simu mbovu. ... hakuna namna ya kurudsha,atakwambia mimi sio muuzaji mi ni msafirishaji..
😂halafu kingine , akiulizwa baadhi ya simu anasema" hiyo sina" 😂 kwa mtu mwenye iq kubwa ataelewa.. so ina maana mzigo unao kabisa huko au ? maana maduka ni mengi huko cm haiwez kosekana used . kama unao mtumie huyo agent wako hata simu mbili mtu akitoa order, then watu ndio wafate.. elewesha vizuri , hzo cm mtu akikuagiza unaenda kuzitafuta dukani au unazo tayari ? na kama unazo basi utumie hela yako kumsafirishia ili ikifika tz mteja akalipie aichukue
 
Back
Top Bottom