Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

😂halafu kingine , akiulizwa baadhi ya simu anasema" hiyo sina" 😂 kwa mtu mwenye iq kubwa ataelewa.. so ina maana mzigo unao kabisa huko au ? maana maduka ni mengi huko cm haiwez kosekana used . kama unao mtumie huyo agent wako hata simu mbili mtu akitoa order, then watu ndio wafate.. elewesha vizuri , hzo cm mtu akikuagiza unaenda kuzitafuta dukani au unazo tayari ? na kama unazo basi utumie hela yako kumsafirishia ili ikifika tz mteja akalipie aichukue
Nina maeneo yangu ya kuchukua Simu
Sio kila Simu uitakayo nitaweza kukupa tia
Ndio maana unaona sija list Simu zote
Simu nilizolist nina uhakika nazo...

Simu ikileta shida inarudishwaa
Warrantee miezi 3
 
Tena kipigo cha mbwa koko! Huyu jamaa tapeli mno. Eti anasema bei ni ya jumla mara eti hata ukiagizia pisi moja halafu kibaya kabisa simu zipo Dubai. Yaani huyu jamaa tapeli. Moderator wafute huu uzi
Na kwa kuwa siyo mpya, hakuna uhakika imetumika na itatumika kwa muda gani kurejesha fedha ya kununulia
 
ngoja nilete kiti nikae nishuhudie mtu wa kwanza anavyojitoa mhanga kama hamza wa dar
 
ngoja nilete kiti nikae nishuhudie mtu wa kwanza anavyojitoa mhanga kama hamza wa dar
mbona watu washajilipua ..na wanaenjoy mamobile kutoka Dubai🤣🤣🤣🤣
 
Google pixel 4xl (nyeupe)
128gb
Kutoka dubai
Haijatumika hapa bongo
Imeagizwa ipo ofisini
Mteja kala kona
Bei 440,000 (haupati kokote kwa bei hii)
0654156671 (ofisini dar)
Manzese Argentina



Mimi ndio yule ninaye agiza watu simu

Uzi wanguu huu hapa

SOLD SOLD SOLD

ISHAUZWAAA
 
mbona watu washajilipua ..na wanaenjoy mamobile kutoka Dubaií ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£
km wameshajilpua kimyakimya bla kuja na feedback watakuw wanaend knyume na tulvyokubaliana kwenye kkao
 
km wameshajilpua kimyakimya bla kuja na feedback watakuw wanaend knyume na tulvyokubaliana kwenye kkao
Ukiona hivyo basi mambo mzuri..
Wangekuwa wamepigwa wangeshakuja hapaa
 
Mbona ulicho andika kwenye mkeka wako na majibu yako vitu viwili tofauti. Tufate kipi? Ss
Najua mkeka nimeandika 500k..
Bei zinabadilika kulingna na soko...
Ni vzur ukafuata jibu la mwsho
Kuna 5 na 5A usichanganye
5 450k
5A 480k
 
Wewe pimbi kweli. Wizi mkubwa siku hizi unafanyika kwa kupiga simu.

So simu siyo msaada wa usalama wa mali zetu. Utaongea nae, akishatupiga anatupa line, halafu unapishana nae mtaani tu.

Huenda anatumia jina la marehemu babu. Tutajuaje?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Watu wa Infinix na Tecno akili zetu tunazijua. Sorry
 
Back
Top Bottom