Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Utapeli ni mwingi sanaa sana kwanini msikabidhiane mkono kwa mkono?
Wewe mwenye duka una wasiwasi wa nini hadi utake pesa kwanza?
Sisi hatuna duka la simu..bali tunaagiza kwa niaba ya mteja ambaye anapenda kupata simu kutoka dubai ..

hizi simu hata ukienda kariakoo zipo ila utapata simu ya uhakika kwa bei nzuri?
 
NDANI YA SIKU 3 MPAK 5 UTAKUWA USHAPOKEA SIMU YAKO
 
UTARATIBU WETU UPO HIVI

Simu hizi ni za kuagiza kwa oda kutoka Dubai.

Tuna ofisi dar es Salaam ambapo mteja atatakiwa kufanya malipo ofisini kisha simu itaagizwa na ikifika dar es salaam atajulishwa kuja kuichukua.

Kama mtu yupo nje ya Dar es salaam basi anatakiwa atume hela kisha ataagiziwa simu na kusafirishiwa mpaka alipo.
AU
Atume mtu wake aliyepo Dar aje ofisini alipie kwa niaba yake kisha simu itakapofika huyo mtu atakuja kuichukua nakukusafirishia.

inachukua siku 3 mpaka 5 kutoka Dubai mpaka Dar es Salaam.

Ofis ipo Mwenge ITV, Dar es salaam
0677 818283
Safi sana.
 
UTARATIBU WETU UPO HIVI

Simu hizi ni za kuagiza kwa oda kutoka Dubai.

Tuna ofisi dar es Salaam ambapo mteja atatakiwa kufanya malipo ofisini kisha simu itaagizwa na ikifika dar es salaam atajulishwa kuja kuichukua.

Kama mtu yupo nje ya Dar es salaam basi anatakiwa atume hela kisha ataagiziwa simu na kusafirishiwa mpaka alipo.
AU
Atume mtu wake aliyepo Dar aje ofisini alipie kwa niaba yake kisha simu itakapofika huyo mtu atakuja kuichukua nakukusafirishia.

inachukua siku 3 mpaka 5 kutoka Dubai mpaka Dar es Salaam.

Ofis ipo Mwenge ITV, Dar es salaam
0677 818283
Nipe bei ya Sony xperia 1 v
 
NOTE 20 GRADE A++

NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 550,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 600,000
 
Tunapokuagizia bidhaa mpaka inafika hakuna gharama zingine utakazolipia bei hizi ni mpaka usafiri , kutoa mzigo na kukukabidhi
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
mkuu huu ni uzi wa biashara ya simu..uneenda kwenye kipengele cha ajira uwelke taarifa zako ingependeza zaidi
 
NOTE 20 GRADE A++

NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 550,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 600,000
unakosaje hiki kifaa kwa 550,000 TU
WhatsApp Image 2024-06-14 at 21.02.22_aed70c45.jpg
WhatsApp Image 2024-06-14 at 21.02.21_872be777.jpg
 
OFFA YA SIKUKUU PUNGUZO LA 5% KWA LEO TU 16/06/2024
Leo ni sikukuu ya eid tuliopo huku Dubai.

Kuna offa ya 5% off

Hii ni kwa simu zinazoanzia 300,000 na kuendelea (LEO TU)
Weka oda yako sasa, tumefungua ofisi leo kwa ajili ya hii ofa tu

300,000 = 285,000
400,000 = 380,000
500,000 = 475,000
600,000 = 570,000
700,000 = 665,000
1,000,000 = 950,000
1,200,000 = 1,140,000
 
AGIZA PLAYSTATION KUTOKA DUBAI

PS3 (used) na pad 2 = 250,000
PS4 (used) na pad 2 = 480,000
PS5 (used) na Controller 2 = 1,050,000
PS5 (mpya) na Controller 2 = 1,400,000
 
Back
Top Bottom