Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Basi, nimeelewa vizuri. Yaani nimeelewa. KILIO KILIO KILIO CHA SAMAKI
WImbo hunanikumbusha mbali sana
 

Je zina guarantee au warrant? Je zinakuja na accessories gani eg. chaja nk.
 
Huu mkeka na hizo bei, maana yake kila mtu awe na simu Kali
 
HIZI NI REFURB ZA DUBAI JAMANI SIO ZA KARIAKOO

NAONA MAWINGA WA KKOO WAMESHAVAMIA SOKOO NA SIMU ZAO ZA EXCHANGE KUTOKA KWA WATEJA
 
Mkuu yn hizo simu zingekuwa tayari zipo kwa huyo wakala wako bc ungeshakula pesa yangu ya samsung s21
Hatuna Mtaji huo.. Ndio maana service tunayotoa ni kukuagizia tu
Mtu akileta mzigo kwa namna ya kufanya biashara.. Hawez kukuuzia kwa bei hii
Maana kuna makodi na maushuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…