Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

umeeleza vizuri lkn hapo kwenye kufananisha n hao giant sikubaliani na wewe
Usichokubaliana na mimi ni kipi Mkuu? Kinachokufanya uamini Ebay na Aliexpress hadi utume pesa kwa kununua bidhaa uliyoiona kwenye picha tu ni kipi? Kuna utofauti gani na huyu ambae kaweka hadi namba za simu za anaepokea pesa na mahala anapoishi(Unaweza kwenda au kutuma mtu na kujiridhisha). Tatizo letu kubwa ni mindset ,stereotyping na ugeni wa hizi biashara. Mtu katoa kila kitu na kuna room kubwa ya mteja kujiridhisha kabla hujafanya maamuzi ila unashangaa mtu anakurupuka kumwita mtu tapeli, inasikitisha mnoo.
 
Usichokubaliana na mimi ni kipi Mkuu? Kinachokufanya uamini Ebay na Aliexpress hadi utume pesa kwa kununua bidhaa uliyoiona kwenye picha tu ni kipi? Kuna utofauti gani na huyu ambae kaweka hadi namba za simu za anaepokea pesa na mahala anapoishi(Unaweza kwenda au kutuma mtu na kujiridhisha). Tatizo letu kubwa ni mindset ,stereotyping na ugeni wa hizi biashara. Mtu katoa kila kitu na kuna room kubwa ya mteja kujiridhisha kabla hujafanya maamuzi ila unashangaa mtu anakurupuka kumwita mtu tapeli, inasikitisha mnoo.
Utaandika mengi lkn jibu ni moja tu 'hatuwezi kufanana mawazo' mimi sijakataa juu ya biashara anayofanya lkn kujilinganisha na ebay na washirika tajwa hapo juu bado na hata yeye amekiri kuwa atafika huko.

Au kwa details hizi ndio unataka kumlinganisha na aliexpress?

Whatsapp +971582640133 (yangu Dubai)
Call /sms 0654156671 (namba ya Ofisi dar)
 
Utaandika mengi lkn jibu ni moja tu 'hatuwezi kufanana mawazo' mimi sijakataa juu ya biashara anayofanya lkn kujilinganisha na ebay na washirika tajwa hapo juu bado na hata yeye amekiri kuwa atafika huko.

Au kwa details hizi ndio unataka kumlinganisha na aliexpress?
Irizi na Rozali inawezekana ikawa ni kitu kimoja kwa kuzingatia perception ya mtu.
 
Mrejesho umekuwa mgum Sana
Mkuu amini watu wa jf wengi ni masikin,wababaishaji na wambea. Wanaweza kukujaza ukijaa wanaleta vijisababu.
Kwani unadhani kigezo kikubwa kujiunga jf ni Nini? Just a smartphone and mb's.
Huu mtandao hakika wasipowaza nje ya box watasanda sio muda....jf imejaa wapuuzi wengi kuliko ilivyokuwa zamani.
 
Wanajf hawana Hela. Ni waganga njaa tu maana haiwezekani Uzi una mwezi kila siku ni kuhoji kitu kilekile. Mie ningekua na Hela ningekwisha agiza....biashara ya online Tanzania ni ngumu Sana maana wengi wetu tunavuja jasho kukitafuta hata hicho kidogo lakini tunavunga tuko vizuri.
 
MKEKA MPYA WA GOOGLE PIXEL
3a 64gb = 270,000
4 64gb = 300,000
4a 128gb = 290,000
4 xl 64gb = 370,000
4 xl 128gb = 400,000
5 128gb = 370,000
5a 128gb = 400,000

Whatsapp: +971582640133 (Dubai)
Ofisi Dar : 0654156671


Mnaosubiria negative feedback kutok kwa walioagiza simu kuwa mimi ni TAPELI endeleeni tu kusubiri..😂😂😂

Watu wanaanza kufanya biashara kupitia simu hizi hizi ninazowatumia
 
MKEKA MPYA WA GOOGLE PIXEL
3a 64gb = 270,000
4 64gb = 300,000
4a 128gb = 290,000
4 xl 64gb = 370,000
4 xl 128gb = 400,000
5 128gb = 370,000
5a 128gb = 400,000

Whatsapp: +971582640133 (Dubai)
Ofisi Dar : 0654156671


Mnaosubiria negative feedback kutok kwa walioagiza simu kuwa mimi ni TAPELI endeleeni tu kusubiri..😂😂😂

Watu wanaanza kufanya biashara kupitia simu hizi hizi ninazowatumia
Safi sana Mkuu. Dawa ya wachawi ni kuwaignore tu.
 
CAT S62
RAM 4GB
STORAGE 128GB
300,000 TU
IMG_20230820_142057.jpg
IMG_20230820_142107.jpg
IMG_20230820_142120.jpg
IMG_20230820_142129.jpg

AGIZA SASA MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
Whatsapp +971582640133
ofisi dar 0654156671
 
Boss nikilipia mzigo leo, inachukua muda gani huo mzigo kufika mkononi mwangu kwa Dar?
Safari ya ndege inayofuata ni ijumaa kwa hiyo unaipata jumamosi asubuhi.
 
  • Thanks
Reactions: K11
YULE JAMAA JUMATANO HAIJAFIKA TUU😂😂
Nina Account Zaidi ya 5 hapa jamiiforums so nawez jipa promo vya kutosha tu kwa account zingine kujifanya wameoda na mizigo wamepokeaa..

So kusubiria mtu eti alete mrejeshoo sio kigezo cha Mimi Kunifanya uamin mimi na huduma yangu...

Tafuta njia nyingine
 
Nina Account Zaidi ya 5 hapa jamiiforums so nawez jipa promo vya kutosha tu kwa account zingine kujifanya wameoda na mizigo wamepokeaa..

So kusubiria mtu eti alete mrejeshoo sio kigezo cha Mimi Kunifanya uamin mimi na huduma yangu...

Tafuta njia nyingine

But why mfanyabiashara ujitape una account nyingi JF?

Kwa nini unaanza kujitengenezea mazingira ya Mashaka wewe mwenyewe?

Kama biashara yako ni genuine si ukaushe tu uache watu watoe maoni yao na wewe upambane na biashara yako?

Kutengeneza trust siyo kitu cha siku moja hasa kwenye huu ulimwengu uliojaa utapeli, watu wana majeraha ya kuliwa pesa zao, Hivyo ignore the negativity na uweke Sawa mazingira yako with time utaeleweka tu.

Kuna dada anaitwa panda Sourcing alianza kupost huku anaagizisha vitu kutoka China, negative comments zilikua nyingi.. ila alikua na uhakika na biashara yake .. akaweka nguvu huko.
Leo anawatu wengi tu wanaomwamin.
 
Back
Top Bottom