Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahhaha
Usiogope kununua kitu kizuri ili nafsi ifrahi mkuukipindi cha magufuli, unatoa miliono themanini na kitu kununua harrier? si bora ningenunua gari nyingine hata ya kwenda nay shamba?
Karibu sana mkuu
inaletwa mpaka mlangoni kwako ikiwa na vibali vyote kasoro bima kwa 89.3MMkuu kwahiyo jumla ni shs ngap mpaka kuitoa hyo harrier, cjaona bei
Ulaji wa mafuta wa hii ni mdogo kuliko hizo zilizo jaa hapa kwetu pia kwa ufupi performance ya gari ipo vizuri sanaTofauti na muonekano hii ina kipi cha ziada zaid ya harrier hizi zilizojaa kwetu huku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikate tamaa pambana mkuu ufikie malengoAsante kwa taarifa, japo wenzako ndo kwanza tunaganga kupata walau Baiskeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna kwasasa kwenye stock zetu
Lakini si amesema ALMOST the same kwa hiyo si sawa na hiyo mkuuKadanganywa sana aisee
Pambana na hali yako mkuukipindi cha magufuli, unatoa miliono themanini na kitu kununua harrier? si bora ningenunua gari nyingine hata ya kwenda nay shamba?
hahahahaha tena kwa masaa machache mkuuZimbabwe itafika hilo gari manake ndo nnapoelekea