G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,618
- 3,478
Nadhani umesoma vibaya mkuu, bei yake kasemani 89.3mil. Ikiwa ni total cost.Iii gari ilikua inafika mil 80, duh kama kweli 68 basi ni best offer,..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani umesoma vibaya mkuu, bei yake kasemani 89.3mil. Ikiwa ni total cost.Iii gari ilikua inafika mil 80, duh kama kweli 68 basi ni best offer,..
Nadhani umesoma vibaya mkuu, bei yake kasemani 89.3mil. Ikiwa ni total cost.
millage imefanana ne bei gani mkuu?Amebadilisha uyu muhuni,... Iyo millage aifanan na iyo bei,
Speed limit bongo ni around 60km/hr. Harrier inazaidi ya 200. Wamiliki wa hya madude mwe mnatembea na kuanzia laki 2. Maana fine za over speed ni za kufikia. Ukiigusa tu kidogo yenyewe inakimbilia 60km/hr
Sent using Jamii Forums mobile app
millage imefanana ne bei gani mkuu?
Una macho mazuri...sisi wengine tukiangaliaga figure tunaiona kama ilivyoandikwa, yaani presha tupu.Iii gari ilikua inafika mil 80, duh kama kweli 68 basi ni best offer,..
[emoji28] mwambie akanunue mengi aje auze fursa hiyobei kubwa mno jamaa kanunua almost the same na hiyo, for 18M!
Una macho mazuri...sisi wengine tukiangaliaga figure tunaiona kama ilivyoandikwa, yaani presha tupu.
Si rahisi sana kupata gari ya mwaka 2015 kwa pesa hio.Ata ukiagiza boss sio kwa bei hiyo mkuu
hana mtaji. ila ni vema hata waagizaji wasitupige kwa bei kubwa.[emoji28] mwambie akanunue mengi aje auze fursa hiyo
Ok, sorry ndugu, nimeona Watu kadhaa pia wame mention hivyo.Mwanzoni kaandika 68.3mil sasa nashangaa kabadilisha ghafla Ana bahati sikuqoute thread yake shubamiitt
Hawakuelewa lugha
alafu unapita nayo dodoma vijinin huko wanajitokeza watoto wa shule wanaipiga mawe!.[emoji3] [emoji102]Milioni 89 hapo napata noah 7 zingine nawagawia majirani ili waniombee nipate zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kaandika 89Iii gari ilikua inafika mil 80, duh kama kweli 68 basi ni best offer,..
Tatizo c lake maana itakuwa hajui kutofautisha bora ni HarrierHahahha kuna watu bhna wanajifanyaga wajuaji kumbe empty kabisa
Mpe hongera sana kwa kununu hiyo gari kwa 18M