Agiza toyota harrier 2015 kwa bei rahisi zaidi

Agiza toyota harrier 2015 kwa bei rahisi zaidi

kipindi cha magufuli, unatoa miliono themanini na kitu kununua harrier? si bora ningenunua gari nyingine hata ya kwenda nay shamba?
Mkuu usisemee mifuko ya watu...shida zetu hazifanani bana...Magufuli hajabadilisha kitu..weny pesa wanaenjoy tu...
 
Watz ni 'much know' sana aisee...af tunalalamika sana..yani ukisoma comment apa nyingi zimejaa ujuaji na kulalamika..ooh bora ninunue shamba..ooh noah 7...ooh range vogue...ooh milioni 18...ooh mwizi. Mhuni...wengine wanawakatisha tamaa wengine..andaa 200k ya fine sababu ya speed limit
Yaan inaonyesha n watu tisio na malengo ya maisha...kama wewe huwezi achia wanaoweza..kama una pesa ya shamba fungua thread ya wanaouza mashamba...tuache ujuaji
 
Dah,acheni utani na hela aisee!chini ya utawala wa mzee wa kunyosha nchi haki ya mama kila goti litapigwa.
 
Watz ni 'much know' sana aisee...af tunalalamika sana..yani ukisoma comment apa nyingi zimejaa ujuaji na kulalamika..ooh bora ninunue shamba..ooh noah 7...ooh range vogue...ooh milioni 18...ooh mwizi. Mhuni...wengine wanawakatisha tamaa wengine..andaa 200k ya fine sababu ya speed limit
Yaan inaonyesha n watu tisio na malengo ya maisha...kama wewe huwezi achia wanaoweza..kama una pesa ya shamba fungua thread ya wanaouza mashamba...tuache ujuaji

Asante sana mkuu kuna msemo unasema "Once you replace negative thoughts with positive ones, you’ll start having positive results...."
 
Kama hauna pesa ni heri kukaa kimya kuliko kuulizia ulizia vitu ambavyo ukiambiwa unaihitaji lini mnakimbia ooh ngoja nijipange
 
MAGARI MAZURI KWA BEI POA
Je unahitaji kuagiza gari toka Japan?
Je unahitaji kupata gari nzuri toka Japan kwa bei nafuu na kwa muda mfupi?
Tafadhali wasiliana nasi kupata utaratibu wa kuagiza gari kwa bei nafuu na kwa muda mfupi Zaidi

Gari zipo Japan na inachukua siku 30 kufika pindi uagizapo

MALIPO HUFANYWA KWA AWAMU TATU (3)
1).Unalipia CIF yani bei ya kutoka japan paka bandari ya Dar es salaam
2).Malipo ya kodi TRA gari inapokuwa imefika au kukaribia kufika bandarini
3).Clearing ni malipo utakayo fanya baada ya gari kufika bandarini tayari kwa kutolewa


Contacts: 0712006562
0782725470


Instagram: @magari_beinafuu
Facebook: khalid guffu


13006_2.jpg






01.jpg




01.jpg




01.jpg
 
Back
Top Bottom