Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Hii Corona tunayo na tumeishi nayo, nchi zilizochukua tahadhari za kufungia watu ndani kama India ndio zinazidi kuwa nayo, sasa ni uwendawazimu kuamini kwamba hizi tahadhari leo miaka miwili baadae ndio zitamaliza tatizo, infact tatizo lenyewe halipo hapa kwetu, tunapigana na kivuli kwa kelele za majirani, tuishie hapa.

Unaonaje kama tungekuwa wakarimu zaidi tukaenda kabisa kuwasaidia kuwauguza na hata kuwapa nasaha za siri ya mafanikio yetu. Au tukawaleta huku wakafanya na utalii wa nyungu?

Si unajua vigogo wetu wakiugua huponea kwao? Nasi wanaweza kuponea kwetu. Kutesa si kwa zamu mkuu?
 
Travelers subjected to mandatory quarantine....sio wasafiri wote au mimi ndio sijaelewa ndugu mleta taarifa?!
Wote waliopitia NCHI zenye maambukizi hatari kama India / Watakaobainika kuambukizwa wote ni KARANTINI.
 
...
Mwendazake alituweka hatarini sana.
Unafiki mkubwa sana huo, leo upo hapa unaandika na ulienda kwenye mishe zako toka corona ilipotangazwa duniani na hujawahi kujifungia kisa upo hatarini.

Usionyeshe tabia yako hadharani kwa issue zinazoweza kukuumbuwa😬!.
 
Unafiki mkubwa sana huo, leo upo hapa unaandika na ulienda kwenye mishe zako toka corona ilipotangazwa duniani na hujawahi kujifungua kisa hupo hatarini.

Usionyeshe tabia yako hadharani kwa issue zinazoweza kukuumbuwa😬!.

Ninayo hata sababu ya kupoteza wakati kubishana na wewe malaika mtu unayejidhania kuwa uko vizuri sana?

Kwani unadhani waliosema na ajiaangalie yeye ajidhaniaye kuwa kasimama vilivyo, hawakujua yatakuwapo tu mamburula kama wewe muda fulani katika maisha?

Hiiiiii bagosha!

Komaa kivyako vyao jombi wala usitufokee. Foka foka peleka nyumbani kwako uliko na mamlaka yako kama mheshimiwa Mungu 😂!
 
Ninayo hata sababu ya kupoteza wakati kubishana na wewe malaika mtu unayejidhania kuwa uko vizuri sana?

Kwani unadhani waliosema na ajiaangalie yeye ajidhaniaye kuwa kasimama vilivyo, hawakujua yatakuwapo tu mamburula kama wewe muda fulani katika maisha?

Hiiiiii bagosha!

Komaa kivyako vyao jombi wala usitufokee. Foka foka peleka nyumbani kwako uliko na mamlaka yako kama mheshimiwa Mungu 😂!
Unafiki mkubwa sana huo, leo upo hapa unaandika na ulienda kwenye mishe zako toka corona ilipotangazwa duniani na hujawahi kujifungia kisa upo hatarini.
 
Unafiki mkubwa sana huo, leo upo hapa unaandika na ulienda kwenye mishe zako toka corona ilipotangazwa duniani na hujawahi kujifungua kisa upo hatarini.

Ni kweri sijawahi kujifungua. Labda wewe kama hizo ndiyo zako. Hongera.
 
Back
Top Bottom