Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Watatumia hiki kipimo kipya au kile cha zamani?
 
Wakimbilie kwenye nchi ambayo tuliambiwa tutatengwa kwasababu corona imesambaa na hatuchukui tahadhari!
Ndio mimi nashangaa kwamba wanaweka hizo restrictions kuzuia wahindi ma wengine wenye Corona kwao? How wakati sisi walidai ndio kitovu, kweli unazuia mtu asimwage ndoo ya maji baharini kisa eti bahari utafurika? Seriously? Hivi hawa viongozi huko wizarani wanatumia akili zilizopo kichwani au hua kuna akili za akiba kwenye kiungo kingine cha mwili?!
 
Ohh tunakufa sijui nini.....

Acheni kujaza watu hofu nyie vigagula.

Kama mnafaidika na MIRADI ya chanjo za wazungu, mwaka huu mtafeli tena sana.

Na mtanzania yeyote mwenye akili timamu asikubali kamwe kupewa hayo machanjo ya ajabu ajabu.

Watu waendelee kuchapa kazi, msituletee hofu za kutengeneza.

Mara ohh tunakufa sijui nini nini! Mbona mama yako hajafa!?
 
Ndio mimi nashangaa kwamba wanaweka hizo restrictions kuzuia wahindi ma wengine wenye Corona kwao? How wakati sisi walidai ndio kitovu, kweli unazuia mtu asimwage ndoo ya maji baharini kisa eti bahari utafurika? Seriously? Hivi hawa viongozi huko wizarani wanatumia akili zilizopo kichwani au hua kuna akili za akiba kwenye kiungo kingine cha mwili?!
Lakini tahadhari ni muhimu. Sioni cha ajabu hapo tunajikinga na maambukizi kutoka nje.
 
Jamani hebu tuunganishe dot kidogo, jana Mama kaomba IMF iwaunge Tanzania katika nchi zilizopata athari za corona katima misaada package za pesa lakini ili upate hilo ni lazima uoneshe hatua unazochukuwa ndio utaingizwa katika msaada huo na Tanzania ndio tumeanza kuonesha na utasikia number zinatangazwa kuanzia sasa uwazi.
 
Na Tanzania Corona imeisha sababu ya nini? Kifo cha mwendazake? 😂😂 utaahira mwingine huu, acheni tu

Aliyekwambia Tanzania Corona imekwisha nani?

Kwanini tume isitupe taarifa hiyo kuwa Tanzania Corona imekwisha tukaishi kwa amani?

Au ni kukaa tanroads tu kuanza kuota ndoto za mchana?
 
Kama ungekuwa Una tumia AKILI yako vizuri.
Ungejiuliza kwanini Tanzania HATUVAI Barakoa wala kutumia sanitizer na Corona HAIPO.ungekuwa umefanya Jambo la maana sanaaa..
unaweza nilitea uthibitisho wa kisayansi kwamba Tanzania haina Corona?
Yaani watu Kama nyie inawezekana hua mnaangalia hata magonjwa mengine kwa makadilio ya macho yenu
Hivi kwafano utamjuaje mtu mwenye maambukizi ya virusi vya HIV pasipo kumpima kwanza?
Au ndio utakuja na porojo zako zile zile mbona watu wote wapo vizuri tu wana afya nzuri sababu hawana dalili za ugonjwa wowote na wamenenepa kweli kweli hivyo wapo salama!
Ndio maana nasema huna ushahidi wa kisayansi kwamba hakuna corona ila umekumbatia propaganda za mtu pori corona haipo sababu ya maombi!
🤣😂😂😂😂
 
Ohh tunakufa sijui nini.....

Acheni kujaza watu hofu nyie vigagula.

Kama mnafaidika na MIRADI ya chanjo za wazungu, mwaka huu mtafeli tena sana.

Na mtanzania yeyote mwenye akili timamu asikubali kamwe kupewa hayo machanjo ya ajabu ajabu.

Watu waendelee kuchapa kazi, msituletee hofu za kutengeneza.

Mara ohh tunakufa sijui nini nini! Mbona mama yako hajafa!?
mbona babaako jiwe imemchomoa au unadhani hatujui namwenzako alikua na akili Kama zako leo yupo akhera madukani akiongoza malaika!
Shauri zako!😂😂😂
 
Mimi ndo nikuletee uthibitisho kuwa Tanzania HAINA Corona?.
Sio wewe ndo uthibitishe kuwa Tanzania ipo Corona?.
Huko serious?
unaweza nilitea uthibitisho wa kisayansi kwamba Tanzania haina Corona?
Yaani watu Kama nyie inawezekana hua mnaangalia hata magonjwa mengine kwa makadilio ya macho yenu
Hivi kwafano utamjuaje mtu mwenye maambukizi ya virusi vya HIV pasipo kumpima kwanza?
Au ndio utakuja na porojo zako zile zile mbona watu wote wapo vizuri tu wana afya nzuri sababu hawana dalili za ugonjwa wowote na wamenenepa kweli kweli hivyo wapo salama!
Ndio maana nasema huna ushahidi wa kisayansi kwamba hakuna corona ila umekumbatia propaganda za mtu pori corona haipo sababu ya maombi!
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyekwambia Tanzania Corona imekwisha nani?

Kwanini tume isitupe taarifa hiyo kuwa Tanzania Corona imekwisha tukaishi kwa amani?

Au ni kukaa tanroads tu kuanza kuota ndoto za mchana?
Nyumbu bwana!

Mbona wewe hujafa?
 
Lakini tahadhari ni muhimu. Sioni cha ajabu hapo tunajikinga na maambukizi kutoka nje.
Ndio na mimi nashangaa kuumiza uchumi kwa kiasi kikubwa namna hii ili kuzuia tone moja la mvua lisikudondokee wakati umeshaloa chapachapa, kama si utaahira ni nini?
 
Aliyekwambia Tanzania Corona imekwisha nani?

Kwanini tume isitupe taarifa hiyo kuwa Tanzania Corona imekwisha tukaishi kwa amani?

Au ni kukaa tanroads tu kuanza kuota ndoto za mchana?
Sasa kwanini mnasema mnazuia wahindi wasije wakakimbilia Tanzania ili kukwepa Corona kwao wakati sisi hatukuwa tunachukua Tahadhari means sisi ni kitovu cha Corona, leo imekuwaje tena tuzuie watu kwamba watatuambukiza wakati sisi ndani tayari tunamaambukizi yasiyopimika? Where is the logic? Where is the common sense?
 
Ndio na mimi nashangaa kuumiza uchumi kwa kiasi kikubwa namna hii ili kuzuia tone moja la mvua lisikudondokee wakati umeshaloa chapachapa, kama si utaahira ni nini?
Kusema kila mgeni anaeingia apimwe kunaumiza vipi uchumi? Au kuna lockdown inakuja sijaisikia?
 
Kusema kila mgeni anaeingia apimwe kunaumiza vipi uchumi? Au kuna lockdown inakuja sijaisikia?
Unapomwambia mtalii/ mgeni akae Karantini kwa siku 14 tafsiri yake ni nini? Kwamba baada ya siku 14 asipoonesha dalili ndio unamruhusu kwenda mbugani, unafikiri kuna mtu anapemda kufungiwa siku 14 tena kwa gharama zake? Kuna chizi wa kuja kuchezea pesa zake hivyo kwa hali ya sasa? Mzungu chizi wa hivyo atoke wapi?
Au kichwa chako kinapata shida kuona uhusiano wa utalii na uchumi?
 
Back
Top Bottom