Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Havijaisha.si unaona tunalazimishwa kupewa chanjo.wakati wao wenyewe chanjo haziwasaidii

Huna habari kuwa India Chanjo inatengeneza na kwenye mipangilio iliyokuwapo na WHO kulikuwa na mgawanyo wa kimakusudi kunufaisha nchi zote.

Ila kutokana na hali mbaya iliyoko huko hivi sasa chanjo zote hazitoki tena India kwenda nchi nyingine na bado haziwatoshi wao wenyewe?

Usisahau India population ni 1.3bn+.

Kuidunisha chanjo hali hatuna utaalamu huo ni kuuvaa u msukuma na u bajaji bila ya kuwa na aibu.
 
Sawa waendelee kutumia chanjo.
Sisi Acha tubaki na MUNGU.
Huna habari kuwa India Chanjo inatengeneza na kwenye mipangilio iliyokuwapo na WHO kulikuwa na mgawanyo wa kimakusudi kunufaisha nchi zote.

Ila kutokana na hali mbaya iliyoko huko hivi sasa chanjo zote hazitoki tena India kwenda nchi nyingine na bado haziwatoshi wao wenyewe?

Usisahau India population ni 1.3bn+.

Kuidunisha chanjo hali hatuna utaalamu huo ni kuuvaa u msukuma na u bajaji bila ya kuwa na aibu.
 
India ni nchi inasifika sana kwenye maendeleo ya mambo ya afya...naamini hata chanjo hawakua nyuma. Ikiwa kwao hali iko namna hii, kwetu itakuwaje?

Lakini pia napata ukakasi kuhusu chanjo, inamaana haikua na matokeo chanya yaliyotarajiwa au huu ugonjwa hausikii chanjo?
 
Mungu anaamua kuonesha uwezo wake.
India licha ya kuwa na hospital Bora na nzuri duniani Leo wameelemewa na wagonjwa.
Jitihada haishindi kudra.
India ni nchi inasifika sana kwenye maendeleo ya mambo ya afya...naamini hata chanjo hawakua nyuma. Ikiwa kwao hali iko namna hii, kwetu itakuwaje?

Lakini pia napata ukakasi kuhusu chanjo, inamaana haikua na matokeo chanya yaliyotarajiwa au huu ugonjwa hausikii chanjo?
 
Nina ujumbe wako
Sisi ni nani? Na tunaoihitaji chanjo tumo kwenye hiyo sisi?

Mbona hivyo?
Screenshot_20210429-111122.jpg
 
Hii ni habari njema ya wokovu kutoka katika serikali ya awamu ya sita.

Heko Mama Samia tunategemea kusikia hatua zaidi kwa afya zetu.

Mwendazake alituweka hatarini sana.

Hiiiiii bagosha!
Mama Samia na yeye pia haelewi chochote kuhusu Covid

Alituasa tujihadhari kwa kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko.

Aliyasema hayo kwenye mkusanyiko wa mashehe na maaskofu kwenye dua ya marehemu.

Tuepukeje mikusanyiko wakati WEWE MWENYEWE UNAKUSANYA MIKUSANYIKO ???
 
Mama Samia na yeye pia haelewi chochote kuhusu Covid

Alituasa tujihadhari kwa kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko.

Aliyasema hayo kwenye mkusanyiko wa mashehe na maaskofu kwenye dua ya marehemu.

Tuepukeje mikusanyiko wakati WEWE MWENYEWE UNAKUSANYA MIKUSANYIKO ???
Maisha lazima yaendelee mikusanyiko iwepo watu watumie vitakasa mikono (iwe lazima). Barakoa apendaye avae, tusilazimishwe. Binafsi, natumia sanitizer way back kabla hata ya Corona pamoja na zile antibacterial wipes. Sipendi salamu za kushikana mikono. Waafrika tu wachafu sana.

Chanjo watuletee tudungwe. Ninaiunga mkono chanjo.
 
Mama Samia na yeye pia haelewi chochote kuhusu Covid

Alituasa tujihadhari kwa kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko.

Aliyasema hayo kwenye mkusanyiko wa mashehe na maaskofu kwenye dua ya marehemu.

Tuepukeje mikusanyiko wakati WEWE MWENYEWE UNAKUSANYA MIKUSANYIKO ???

CCM kirumba alionekana akipenyezewa sanitizer akanawa ki sawa sawa. Angalau ana nafuu kubwa tokea kwa mwendazake.
 
bila Shaka.
ILA kaa ukijua . MISIMAMO MIKALI YA MAGUFULI JUU YA CORONA.
Ndo imetufanya tuwe salama dhidi ya Corona.
usidhani hyo barakoa na chanjo na sanitizer vinaweza kukulinda na Corona.
basi wangepona ulaya na marekani na Asia.
NI MUNGU TU.
we jamaa hio I'd yako inasadifu kilicho kwenye ubongo wako Sasa huyo magufuli aliyeishinda Corona yupo wapi muda huu
Aiseee watu wengine mna akili za kushikiwa wallah daaaaa kazi ipo
Et aliishinda korona kwa maombi
Yaani propaganda nyingine buana ina maana hizo nchi wanaokufa na Corona hawamjui huyo mungu au ndio kusema nyie wabongo ndio mna undugu na huyo Mungu?

Tuna safari ndefu sana!
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom