Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Agizo: Wasafiri watakaoingia nchini watakaa karantini siku 14 kwa gharama zao

Je huyu mama anaeimbiwa mapambio kila siku na anayesema anakesha usku kuangalia kinachoandikwa mitandaoni je taarifa hizi hana? Au na yeye ni mkaidi kama JPM? tena huyu anayependa kusafiri safiri haya tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
 
Mnatishana Sanaa.
Msikariri.mlisha tabiri Sanaa kuhusu Tanzania juu ya Corona lakini MNAFELI

Palikuwa na hoja mbili za wazi tu hukujibu hata moja. Mtu mzima hatishwi hutishwa watoto wadogo.

Kuelezwa uwezekano wa hatari ni kutahadharishwa.

Apumzike kwa amani mwendazake ambaye tahadhari alizidhania ni kutishwa vita vya kiuchumi dhidi yake.
 
Why serikali iko kimyaa??

Tufanye vyovyote vile lakini tuna njia mbili tu za kuchagua nazo ni watu kupata chanjo au watu wapate kinga kupitia watu wengi kuuugua Corona {Herd Immunity}
 
Kuna jamaa alikuwa analeta thread za Corona kila siku humu JF sijui kapotelea wapi?

Kama alipotea kuanzia around 27 Feb anaweza kuwa ni nanihii na sasa atakuwa anawapanga na kuwapangua malaika.

Hizi fake ID zina mambo yalimkuta mtu panapiga kimya, kama kaingia mkono juhudi vile.
 
Kuna wagonjwa wangapi wa Corona hapa Tanzania?
Palikuwa na hoja mbili za wazi tu hukujibu hata moja. Mtu mzima hatishwi hutishwa watoto wadogo.

Kuelezwa uwezekano wa hatari ni kutahadharishwa.

Apumzike kwa amani mwendazake ambaye tahadhari alizidhania ni kutishwa vita vya kiuchumi dhidi yake.
 
Kaka kwani India wao HAWAJILINDI?
Kufa ni ahadi na wenye akili timamu hujilinda ili kuepuka maambukizi ya aina yoyote ili kwa kuvaa ndom, kuchemsha maji, kuweka vyandarua etc. Huo ni ufinyu mkubwa wa akili kuona ugonjwa uliowaua binadamu zaidi ya milioni 3 in less than 18 months na hivyo kuua watu wengi duniani kuliko ugonjwa wowote ule kwa zaidi ya miaka Mia unafanyiwa promo.
 
Tuko kama tumerogwa hivi. Yale yale ya Jobo na mabeberu na vita vyao vya kiuchumi dhidi ya Tanzania.

Nyambafu!
Halafu wanaopiga kelele hawana ujuzi wa kitabibu,wanafuata mkumbo tu
 
Ulishajiuliza kwanini watanzania hawavai barakoa,hawanawi mikono,hawatu
mii sanitizer,wanajazana kwenye magari lakini Corona hamna?.
Kitu ambacho magufuli alichokifanya kujitokeza hadharani na kutamka kuwa "JANGA LA CORONA ANAMUACHIA MUNGU"
huo ndo ushindi wa magufuli.
Mungu hawezi kumuangusha MTU anayemtegemea Kwa dhati.
magufuli kujitegemeza Kwa mungu ndo ushindi wote huu unaouona.
HII NI VITA KATI YA MUNGU NA SAYANSI.
ngoja tuangalie Nani atashinda.
Kwani gonjwa lina masikio na macho kiasi linaweza kukasirika na hata kutibuka?

Mbona shughuli?
 
ulishajiuliza kwanini watanzania hawavai barakoa,hawanawi mikono,hawatu
mii sanitizer,wanajazana kwenye magari lakini Corona hamna?.
Kitu ambacho magufuli alichokifanya kujitokeza hadharani na kutamka kuwa "JANGA LA CORONA ANAMUACHIA MUNGU"
huo ndo ushindi wa magufuli.
Mungu hawezi kumuangusha MTU anayemtegemea Kwa dhati.
magufuli kujitegemeza Kwa mungu ndo ushindi wote huu unaouona.
HII NI VITA KATI YA MUNGU NA SAYANSI.
ngoja tuangalie Nani atashinda.

Wala haikuwa vita ya kiuchumi ya mabeberu dhidi ya Tanzania? Imebadilika na sasa Mungu yuko vitani kuanzia lini?
 
Tangu mlipoanza kusema MUNGU hawezi kuondoa Corona.na badala yake tutumie njia za kisayansi
Wala haikuwa vita ya kiuchumi ya mabeberu dhidi ya Tanzania? Imebadilika na sasa Mungu yuko vitani kuanzia lini?
 
Tangu mlipoanza kusema MUNGU hawezi kuondoa Corona.na badala yake tutumie njia za kisayansi

Tumeongea sayansi tokea day 1 hatujakoma kusema hivyo. Sasa vita vya kiuchumi viliisha lini?
 
Havijaisha.si unaona tunalazimishwa kupewa chanjo.wakati wao wenyewe chanjo haziwasaidii
Tumeongea sayansi tokea day 1 hatujakoma kusema hivyo. Sasa vita vya kiuchumi viliisha lini?
 
Tanzania kwa wananchi waliopo ndani watangazieni watumie barakoa hali sio shwari na iwe lazima hiyo rapid test kazungura iliwachanganya mtu huyo huyo mmoja asubuhi akipima ana corona jioni hana tena ile wave two wakati imekomaa wakaacha kupima wakawa wanabaki kusoma majibu ya kipimo cha UTH Lusaka..inatakiwa kusitisha safari za ndege kutoka na kuingia India au Brazil kama zipo...
Matumizi ya sanitizer au kunawa na kupunguza misongamano isiyo ya lazima..
Kila ofisi au duka iwekwe sanitizer au maji ya kunawa na sabuni..
Kupunguza misongamano kwenye vyombo vya usafiri wa ndani..
Kupunguza misongamano huko polisi..
Watu waache kusalimiana kwa kushikana mikono...
Mechi ya Simba vs Yanga washabiki waruhusiwe wachache tuu..
Kuhamasisha matumizi ya barakoa kuwa ya lazima..
Matumizi ya barakoa kuwa lazima? Hell no
 
Back
Top Bottom