Huu ni mtazamo wa kiuchumi kuliko kiafya.
Kwahiyo wageni ndio wana possibilty kubwa ya kuambukiza corona kuliko wenyeji?Kwanini wwnyeji wanaruhusiwa kujitenga nyumbani?
Hivi serikali mnachotafuta kwenye hii janga ni nini,kwanini hamko makini?
Mwaka jana tuliwaambia hamkusikia.
Mwaka huu tunawaambia tena,chukueni hatua za kudhibiti mwingiliano na mataifa yaliyoathirika kama India mapema.
Mnabeba dhamana ya afya zetu sote,nchi si yenu peke yenu,BE STRICT on this issue kwa ajili yetu watu milioni 60!
ACHENI KUJIVUTAVUTA!BE STRICT!😡