FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Huu ni utaahira, na hii ni vita ya kiuchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama haujawahi kuumwa haupaswi kuomba chanjo.
Utakuwa huelewi maana wala madhumuni ya chanjo. Sasa hapo tunajadili vipi mkuu?
we jamaa hio I'd yako inasadifu kilicho kwenye ubongo wako Sasa huyo magufuli aliyeishinda Corona yupo wapi muda huu
Aiseee watu wengine mna akili za kushikiwa wallah daaaaa kazi ipo
Et aliishinda korona kwa maombi
Yaani propaganda nyingine buana ina maana hizo nchi wanaokufa na Corona hawamjui huyo mungu au ndio kusema nyie wabongo ndio mna undugu na huyo Mungu?
Tuna safari ndefu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii JF imejaa watu wengi wa ajabu ajabu sana.Kuna jamaa alikuwa analeta thread za Corona kila siku humu JF sijui kapotelea wapi?
Wewe umeiona au unalishwa propaganda tu?korona iliyopo india ni balaaa inapukutisha hatari
Hapo kwa Watanzania kachemka! Watanzania ni Careless by nature! Wataenda kuua watoto na mama zao au baba zao!Ni hatua nzuri. Hata hivyo, hao wa kitanzania nani ana uhakika watajitenga huko majumbani kwao.
Hakuna corona yoyote ni ujinga mtupu huu!Huu ni utaahira, na hii ni vita ya kiuchumi
Kama chanjo ingesadia watu kutopata Corona basi wagonjwa wangepungua.
Tumeishi mwaka mzima bila hizo restrictions, ila leo ndio wanasema wahindi watakimbilia huku kukwepa ugonjwa kwao, sasa iweje wakimbile huku ambako hatukuwa tukichukua tahadhari? Si walitakiwa watuogope kwamba tuna corona? Magufuli alikuwa na maono ya kinabiiHakuna corona yoyote ni ujinga mtupu huu!
Kwa kweli Magufuli ni chuma cha pua!
Haya maswahili swahili yaliyopo sasa ni pazia tu!
Hujasikia kuwa UK na Israel ugonjwa umepungua kwa sababu ya chanjo?
Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi
Mabibi na mabwana kwa mara nyingine imethibitika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya binadamu kisayansi haijawahi watupa waja wake mola. Israel ni taifa lililoendelea mno katika kila hali ikilinganishwa na nchi nyingi duniani. Hata hivyo duniani ni kutegemeana ambapo wingi na tofauti zetu ndiyo...www.jamiiforums.com
Mkuu, hapa tumepigwa!Tumeishi mwaka mzima bila hizo restrictions, ila leo ndio wanasema wahindi watakimbilia huku kukwepa ugonjwa kwao, sasa iweje wakimbile huku ambako hatukuwa tukichukua tahadhari? Si walitakiwa watuogope kwamba tuna corona? Magufuli alikuwa na maono ya kinabii
Na Tanzania Corona imeisha sababu ya nini? Kifo cha mwendazake? 😂😂 utaahira mwingine huu, acheni tuHujasikia kuwa UK na Israel ugonjwa umepungua kwa sababu ya chanjo?
Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi
Mabibi na mabwana kwa mara nyingine imethibitika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya binadamu kisayansi haijawahi watupa waja wake mola. Israel ni taifa lililoendelea mno katika kila hali ikilinganishwa na nchi nyingi duniani. Hata hivyo duniani ni kutegemeana ambapo wingi na tofauti zetu ndiyo...www.jamiiforums.com
Hahahaa sawa mkuuAlitujenga kisaikolojia umeshaona Mtz yyte anaogopa coro...
Wakimbilie kwenye nchi ambayo tuliambiwa tutatengwa kwasababu corona imesambaa na hatuchukui tahadhari!Tumeishi mwaka mzima bila hizo restrictions, ila leo ndio wanasema wahindi watakimbilia huku kukwepa ugonjwa kwao, sasa iweje wakimbile huku ambako hatukuwa tukichukua tahadhari? Si walitakiwa watuogope kwamba tuna corona? Magufuli alikuwa na maono ya kinabii
We jamaa jinga sana!Hujasikia kuwa UK na Israel ugonjwa umepungua kwa sababu ya chanjo?
Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi
Mabibi na mabwana kwa mara nyingine imethibitika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya binadamu kisayansi haijawahi watupa waja wake mola. Israel ni taifa lililoendelea mno katika kila hali ikilinganishwa na nchi nyingi duniani. Hata hivyo duniani ni kutegemeana ambapo wingi na tofauti zetu ndiyo...www.jamiiforums.com
Hakuna hata mmojaKuna wagonjwa wangapi wa Corona hapa Tanzania?
HahahahaaaaNa Tanzania Corona imeisha sababu ya nini? Kifo cha mwendazake? [emoji23][emoji23] utaahira mwingine huu, acheni tu
wangepiga ban ndege za kutoka India na Brazil na wasafiri waliotoka India na Brazil wangeanza na Atcl inatoenda India simamisha kwanza kwa muda.korona iliyopo india ni balaaa inapukutisha hatari