TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Ngoja tusubiri tutasikia mengi, kuishiwa damu na homa ya tumbo inawezekana ni mpango wa Mungu
Mwenyewe juzi alihojiwa kasema nimeolewa nimemrudia Mungu ndio maana nipo kimya na status zake ni bible tu I hope amepata mwisho mwema mbele ya hakimu mkuu
Kweli alikua ametulia. dah kama alikua ameanza kumkumbuka mungu labda kuna kitu alikua ameshaona aise
 
Mijitu Humu minafki sana chief
Kuna mtu Humu anakwambia anashindwa Hata kuongea mijinga kabsa.....

Ova
 
"Wakati wa kufariki hatumiliki kibeto, mali tunazomiliki huwa nyara na mawindo, bali hazinyang'anyiki sifa zetu za matendo, matendo ni kumbukumbu ya mtu kukumbukiwa" Shaaban Robert
 


WASITIRIIIIII BAASIII MAREHEMUU WATARAJIWAA NA WEWW
 
We acha tu, alooo nifanye mpango wa kupata copy aiseee maana nikidanja sasa hivi nasahaulika in 40 days, lakin kakiwepo ka dogo janja angalau jina langu litaishi.
[emoji22][emoji22][emoji22]
Jimbo limepata mbunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…