TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Mange bana na mambo yake mpaka alikiba anasema kiki, yule ni mgonjwa wa milembe psychotic case bipolar 2, nampenda hivyo hivyo lakini

Nipoo nawasomaa tu siku hizi umekua kungwii unanikosha kule jukwaa la mmu [emoji23] [emoji23]
Shoga angu nishakumiss mpaka basi ,mange wa kumuacha tu ananifurahisha mno hapa duniani
Kungwii wa mkoani mimi
 
Sijaooonaaa polee ya mange
Ama sio memba humu
 
mademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """
I like this, you speak black and white mkuu, Binadamu tuna unafiki mkubwa sana, kuliko tunayoyaonyesha, the death of somebody else doesnot make you clean, thnx!
 
I like this, you speak black and white mkuu, Binadamu tuna unafiki mkubwa sana, kuliko tunayoyaonyesha, the death of somebody else doesnot make you clean, thnx!
asante chief...nimeona like zako zakutosha tu means ulikuwa unanifuatilia nakuridhika na hoja zangu"" nashukuru mkuu""
 
Back
Top Bottom