Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wivu tuuKaka mbona tena malipo hapahapa. Kunani tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tuuKaka mbona tena malipo hapahapa. Kunani tena?
Mange bana na mambo yake mpaka alikiba anasema kiki, yule ni mgonjwa wa milembe psychotic case bipolar 2, nampenda hivyo hivyo lakiniAchana kabisa na Mange wewe
Umepotea brenda
Tuma cv yakoJimbo limepata mbunge
Shoga angu nishakumiss mpaka basi ,mange wa kumuacha tu ananifurahisha mno hapa dunianiMange bana na mambo yake mpaka alikiba anasema kiki, yule ni mgonjwa wa milembe psychotic case bipolar 2, nampenda hivyo hivyo lakini
Nipoo nawasomaa tu siku hizi umekua kungwii unanikosha kule jukwaa la mmu [emoji23] [emoji23]
Itaje tukazike mwenzetuDaah alafu ni Member mwenzetu humu, anashinda muda mwingi MMU cjui niitaje Id yke jaman.kweli life is too short
Ok,natuma sasa hivi pmTuma cv yako
Hivi alitoa zile milion ngapi fainiHiv angeenda jera angekuwa hai mpaka sssa nawaza tu
hivi unexplained anemia ni stage ya tatu ya AIDSaaah! acha tu mkuu , ukifuatilia vizuri utajua kwanini alikuwa anaishiwa damu
Kifo hiki aise kinasiri kubwa sana . lakini mbona wanasema alishikwa na pumu na hajawahi kuwa nayoTutajua tu badae ukweli muda husema yote
I like this, you speak black and white mkuu, Binadamu tuna unafiki mkubwa sana, kuliko tunayoyaonyesha, the death of somebody else doesnot make you clean, thnx!mademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """
Unapowasambazia watoto wa watu unga ni uuwaji na ukatili wa hali ya juuComment yako mbaya. Malipo ni hapahapa una maana gani? Nani aliye mkamilifu mbele ya Mungu?
Kawatanguliza akina nani huko akhera?
asante chief...nimeona like zako zakutosha tu means ulikuwa unanifuatilia nakuridhika na hoja zangu"" nashukuru mkuu""I like this, you speak black and white mkuu, Binadamu tuna unafiki mkubwa sana, kuliko tunayoyaonyesha, the death of somebody else doesnot make you clean, thnx!
Nipo nipo mama leo agness kanifanya nitypeShoga angu nishakumiss mpaka basi ,mange wa kumuacha tu ananifurahisha mno hapa duniani
Kungwii wa mkoani mimi