TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Sijuiikama amdaiii mtu JAMANI yono mkowapi...muanze kuuulizia madeni ya MAREHEMUU maana..nduguu wamekuwa Kama MASHETANI SIKUHIZI UKIFA TU WANATWANGANA KAMA WALICHANGIA UDONGO AMA BATI
 
duuu Mungu amlaze nahal pema japo wanasemag Marehemu hasemwi ila kwa nionavyo mm yule dda alkua mchafu sana kwa mapicha yake ya ovyo ovyo kwa mitandao ila lile msambwanda daaaaa kgfhgjg na zike paja ni kwikwi**********
 
duuh, Mwenyezi Mungu ailaze roho yake panapostahili, ila swali ni kwamba, "Was it the impact of being the transporter?"
 

Mkuu umeenda deep kinoma.
 
Twende mbele turudiii nyumaa jamani mungu anajuaa kuuumba..Mungu alimuumba dadayangu acheniii kapsaa

Yaanii uumbajii huu ulikuwa sikuya sabatoo tulivu kabsaa pembenii anasukumiaa tusker bardiiiiiiiiii ..Naamini ulichukua usikumzima..Polen sana wafiwa pole sana mama mzazi ukweli mungu akutie nguvu
 
Mange bana na mambo yake mpaka alikiba anasema kiki, yule ni mgonjwa wa milembe psychotic case bipolar 2, nampenda hivyo hivyo lakini

Nipoo nawasomaa tu siku hizi umekua kungwii unanikosha kule jukwaa la mmu [emoji23] [emoji23]
Kama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…