Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, mkuu lakini wote ni wadhambi, sote tunazitenda. No one is safe here, kifo chake kitukumbushe mapito yetu, sio kuhukumu kwa vile sote ni wadhambi wakubwa tuAsante na niwie radhi kwa nilichoandika... Ila Sidhani kama kitabadili ukweli.... Lugha imekuwa ya ukakasi kidogo lakini inapobidi lazima itumike...
Yatazuka mengi sana, ukweli utajulikanaKifo hiki aise kinasiri kubwa sana . lakini mbona wanasema alishikwa na pumu na hajawahi kuwa nayo
hahaaa "" kwanza kitendo chenyewe cha kuletwa huku kimejaa ubinafsi "" maana unapata akili unashtuka umeshaletwa tu "" pasipo wewe muhusika kushirikishwa ""
binaadamu akizaliwa huwa analia kwa sababu hajazaliwa kwa ridhaa yake ..na akifa huwa anatapa tapa kwa sbabu hataki kuondoka sehemu ambayo Tayari alishaizoea kimazingira ....
Huyu tokea ile ishu ya makonda amekuwa akiumwa Sana tokea mwaka Jana amekuwa akiumwa ,akilazwaUnapowasambazia watoto wa watu unga ni uuwaji na ukatili wa hali ya juu pumbavu wewe.
Labda ingekuwa kidot atleast.Au Ally Kiba alikua bwana ake baada ya kuskia ameoa presha imepanda?!!!tuambiane jamani
AstaghaflahKama na hiyo dhambi basi karibia 75% ya wadada wa mjini wanayo
Nadhani una umri wa kutosha, kuwajibika kwa kila unachokiwaza,kukisema na kisha kukiandika popote pale. Stay, alert!...MTARAJIWA
Hakuna siri chini ya jua itajulikana tuYatazuka mengi sana, ukweli utajulikana
Yule mvuta ganja sepenga alivyoitwa ktk kundi la watumiaji au wauzaji wa ngano si alisema Mwanamfalme anamramba huyu ndio mana hajamtaja....!!!
Ha ha haAstaghaflah
acha tu mkuu""lakini huo ndio uhalisia....""Mkuu umeenda deep kinoma.
1.5 milion alitoa ndioHivi alitoa zile milion ngapi faini
Kama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.Mange bana na mambo yake mpaka alikiba anasema kiki, yule ni mgonjwa wa milembe psychotic case bipolar 2, nampenda hivyo hivyo lakini
Nipoo nawasomaa tu siku hizi umekua kungwii unanikosha kule jukwaa la mmu [emoji23] [emoji23]
Ndio picha alizokuwa akipost Marehemu,Nasoma comments zenye negativity juu ya huyu dada, kwa nini alikuwa anachukiwa?
Ila aisee this world, unakufa and the pictures that emerge ni kuonyesha takko lako, kila ninaposoma ni picha ya takko lake tu.