Ghafla wapi? Heroine & Cocaine ndio zilizomuuuaRIP Masogange, Ndoto zako imezimika Ghafla....
Lakini wana heri wafu wafao katika Bawana.Mwisho wa kila kitu ni kifo tu. Uwe na jeuri, uwe mwema utadead tu siku yoyote!
Huyo kafa sababu ya heroine hio zingine kupambisha tu tokea ashitakiwe kesi ya madawa amekuwa na hali mbaya ..manji bahati yake alikuwa anakesha agakhan hospitalInategemea umeenda ukiwa stage gani mkuu .. kuna watu wanaenda na unakuta hadi utumbo umeanza kukatika.. jiulize kwann hiyo typhoid imepelekea akaishiwa mpk damu
Kwelii hii kabisaMtoto anae mkuu, tena mkubwa mno, ila alikuwa anataka mumuone mbichi akawa anamficha sana..
Hakuna mwanamke anayetokea mbeya awe mzuri alafu afkishe miaka 20 bila kutolewa bikra ya kizazi..
Ayaa mama Sabrina tumuombee apumzikee kwa amanHapo hata sijui
Sawa MwiruAyaa mama Sabrina tumuombee apumzikee kwa aman
Jamani mwili wote hule hana damu?Nipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
Ni kweli..Lakini wana heri wafu wafao katika Bawana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inanibid nicheke tuu japo inahuzunisha.... Sasa mkuu makalio yanahusiana vipi na damu? [emoji23][emoji23]Jamani sasa wanakuwa wachache walitakiwa wawe wengi,halaf hapa muda mfupi tu alikuwa kimyaaa na makalio yote yale mtu anapungukiwaje damu,hizi hospitali zetu hizi
Ndoto gani?RIP Masogange, Ndoto zako imezimika Ghafla....
Hahaha ukilipata unipe mwayahuhhaha.
nakutaftia jibu silipati
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kafa na umbo lake kweli maisha mafupi
Apumzike kwa amani