ZERO BRAIN basi atakuwa kashafanya yake,jamaa ni mafia usikute kamlambisha Dimethylmercury.Nimewaza pia hivyo, inasemekana Mungu wa dar amemsumbua sana toka waachane watu wake wa karibu wanasema kila siku anamletea mapicha mara amnyang'anye vitu nk labda aliogopa angetoa siri zake
Acha kumkukufuru Mungu wewe mwanadamu, Mungu anasukuma tasker, serious? Mungu akulipe sawasawa na uyatamkayo.Twende mbele turudiii nyumaa jamani mungu anajuaa kuuumba..Mungu alimuumba dadayangu acheniii kapsaa
Yaanii uumbajii huu ulikuwa sikuya sabatoo tulivu kabsaa pembenii anasukumiaa tusker bardiiiiiiiiii ..Naamini ulichukua usikumzima..Polen sana wafiwa pole sana mama mzazi ukweli mungu akutie nguvu
View attachment 751242 View attachment 751244 View attachment 751245
Sisi ni wa M/Mungu na kwake ni marejeo ni somo kwa wala bata wote duniani tujue kuna kifo kinatusubiri
Vifo vyote visivyotokana na uzee,chini ya miaka 70 ni mpango wa shetani.Ukimtumikia Mungu wa kweli huwezi kufa mapema.Imeandikwa
Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza."
Kutoka 23:25-26
Mkuu swali la msingi tunamtumikia bwana au shetani?Kizazi cha siku hizi waigizaji tu,wanadhani Mungu ni babu yao.Walo kufa washakufa who is next?Me and you.lakini lipo tumaini ukimpokea Yesu leo,Mungu naye anajua fanya mbwembwe zako zote ila wanadamu wote wana one point of intersection it is called "death" hapo wote tunakutana.Usicheze na Mungu,haangalii sura ila ukimtumikia huwa anakupa taarifa kabisa kabla hajakuchukua.Vifo vyote visivyotokana na uzee,chini ya miaka 70 ni mpango wa shetani.Ukimtumikia Mungu wa kweli huwezi kufa mapema.Imeandikwa
Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza."
Kutoka 23:25-26
.....na roho yake !Kafa na nini?
.....umesahau kuwa akili huna !Upungufu wa damu, mbona haingii akilini?