Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitusi na kinyanulenge je?Kwa Kiswahili bhana Mkuu Mimi sijasoma kama Wewe halafu Kiingereza nina ' Uadui ' nacho.
Hahahahaha kontena LA nini watu MNA manenoLile kontena alilofungasha yule binti had I wakati huu siamini kama linaenda kuwa mavumbi.
Inaumiza sanaWameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.
Hahahaha nilimuona comedian Steve akisema marehemu alikuwa ana ugua pumu...na akaeleza jinsi pumu inavyo mshika mtu hadi kufa....kwakweli nilimcheki nikamcheki....nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiNaomba nielimishwe kidogo maana sijaelewa. Huyo Masogange sijawahi muona hata movie moja au kuhudhuria vikao vya bongo movie ilaa kwanini kina Steve Nyerere wameuchukua msiba wake na kuuweka upande wao?
AiseeeSteve nyerere alikula rambirambi ya Kanumba naona anaanza kunyemelea na ya masogange
kwani familia ya marehemu haipo? waache kutumia misiba kujipatia umaarufu,ni unafikiVyovyote ilivyokuwa Waachie wa mstiri mwenzio
Mkuu, Tumetoa Yutong za kutosha na Coaster mayai kadhaa kwa watu watakaoguswa kwenda kumzika Marehemu Agnes. Umbali wa safari ya mazishi sio tatizo.Hata akizikwa siku ya muungano lakin atazikiwa kijijin kwao mbeya ,kwaio hatutapata fursa ya kumuaga vizuri
Otea!mleta mada uko serious au unatania?
Kama RAIA wa taifa hili kiufupi alikua ni mmoja ya wamiliki wa taifa hilini kama nani nchi hii??
Mkuu huwezi jua maisha yake ya mwisho na ajuaye siri ni yeye na Mungu wake tu
Mkuu kwa Hiyo Hutaki Tuwe Idodomia Kwa Sherehe za Muungano?View attachment 751622
Kwanza poleni wanafamilia kwa msiba wa msanii Agnes Masogange na kila mpenda sanaa Tanzania ni kifo kilichomshtua kila mmoja.
Ili kila mmoja aweze kushiriki mazishi ya mrembo huyo ningeishauri familia wapange mazishi ya msiba huo yawe siku ya sikukuu ya Muungano maana ni siku ambayo wale wapenzi ambao ni wafanyakazi ni rahisi kupata muda wa kushiriki mazishi hayo.
Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.Amen
Hahahahahaha du kweli umepania....kila la heri hiyo sikuWengine diary zetu ziko booked kwa maandamano
Dodoma mambo yataendelea tu kama kawaida kwasababu vijana wako ni rehearsal ya nguvu sana huko... na wengine watakuwa kwa mzishi ya huyu mremboMkuu kwa Hiyo Hutaki Tuwe Idodomia Kwa Sherehe za Muungano?
Who is Agnes's....Muungano kwanza Mkuu