Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe una legacy gani ?.., duniani ishi kwa faida yako na furaha yako sio utakumbukwa vipi ukifa.., yeye anakumbukwa na wasiomjua kuna watu wakifa hata ndugu zao hawawakumbuki..., kuna watu kama Tesla they did a lot for humanity but died alone with nothing and unhappiness..., the point being live for yourself and do things your heart desires.., do them for their impacts not for the sake of being remembered..,vijana wa leo mjiulize na mjifunze,Agnes amefariki je ameacha Legacy gan au jambo gan la mfano na kukumbukwa zaid ya watu ku refer makalio yake makubwa
Mkuu umefikiria nn mpaka kusema hivi hahaaaaaaaKuna watu watakuwa wanafaidi huko kuzimu
good english 💯👊🏿Oh no!
I’m so sad!
I once met her at the airport en route to Mwanza and we hit it off so well.
Rest easy beautiful!
Mzee unafukua makaburi daah[emoji28][emoji28]good english [emoji817][emoji1534]
Kupiga angle kama hii lazima uwe ndonga inchi 9
Aisee🤔Kupiga angle kama hii lazima uwe ndonga inchi 9
Wakubwa wamefaidi saaanaAisee🤔
Natamani ningekuwa udongo 😋😋Kifo hakina huruma ,udongo unameza wengi.
"Wadau nilipita Mama Ngoma Health Centre Mwenge na kukuta watu wakilia kuuliza naambiwa Video Queen Masogange amefariki muda mfupi uliopita.
=========
UPDATES:
=========
Video queen maarufu Bongo Agness Gerald maarufu kama Agness Masogange amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Mama Ngoma iliyoko Mwenge, Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Alikuwa anasumbuliwa na Homa ya matumbo pamoja na tatizo la kupungukiwa na damu.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Habari zaidi....
Mwanamitindo na video queen marufu bongo Agnes Gerald maarufu kama Masogange, amefariki dunia jioni ya leo April 20 alipokuwa amelazwa katika hospital ya Mama Ngoma akipatiwa matibabu
Akithibitisha taarifa ya kifo hicho Daktari Rama Ngoma wa hospitali ya Mama Ngoma, amesema Agnes amefariki dunia kwa tatizo la pneumonia na upungufu wa damu jioni hii, na alikuwa amelazwa hospitalini hapo kwa muda wa siku nne mpaka kifo kilipomkuta.
Tayari mwili wake umeshatolewa hospitali ya Mama Ngoma, na kwa mujibu wa muigizaji Steve Nyerere umepelekwa hospitali ya Taifa ya muhimbili.
Agnes Masogange alikuwa maarufu baada ya kuonekana kwenye video kadhaa za bongo ikiwemo Masogange ya Belle 9.
Je ugonjwa wa pnemuonia (Nimonia) ni nini?
Pneumonia ni maambukizi katika viriba ya hewa katika pafu moja au mapafu yote. Viriba hivi vya hewa huweza kujaa maji au usaha na kusababisha mgonjwa kukohoa, homa kali na kupumua kwa shida. Pneumonia hubebwa na bakteria, virusi au fangasi.
Habari zaidi, soma=>Ufahamu undani wa ugonjwa wa pneumonia (Nimonia)
Duniani tunapitaKafa na umbo lake kweli maisha mafupi
Apumzike kwa amani
Ni kweliNimesoma hii paragraph nikakumbuka ingekuwa ni miaka ile ya Decembwr 2019 kuelekea March 2020 wangesema ni yenyewe ilimtoa duniani"
Nilikuwa naipitia hii Paragraph hapa nikiwaza Nimonia ya sasa watu wanaifananisha na Covid_19.
Ukifa imeishaa... Tujitahidi kua na watoto .Muda unakimbia kwa kasi. Ndio ishatoka hiyo. Hakuna anayemkumbuka tena
Yani miaka 3 ishapita tyariMuda unakimbia kwa kasi. Ndio ishatoka hiyo. Hakuna anayemkumbuka tena