TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

vijana wa leo mjiulize na mjifunze,Agnes amefariki je ameacha Legacy gan au jambo gan la mfano na kukumbukwa zaid ya watu ku refer makalio yake makubwa
Mkuu wewe una legacy gani ?.., duniani ishi kwa faida yako na furaha yako sio utakumbukwa vipi ukifa.., yeye anakumbukwa na wasiomjua kuna watu wakifa hata ndugu zao hawawakumbuki..., kuna watu kama Tesla they did a lot for humanity but died alone with nothing and unhappiness..., the point being live for yourself and do things your heart desires.., do them for their impacts not for the sake of being remembered..,
 
"
Je ugonjwa wa pnemuonia (Nimonia) ni nini?

Pneumonia ni maambukizi katika viriba ya hewa katika pafu moja au mapafu yote. Viriba hivi vya hewa huweza kujaa maji au usaha na kusababisha mgonjwa kukohoa, homa kali na kupumua kwa shida. Pneumonia hubebwa na bakteria, virusi au fangasi."

Nimesoma hii paragraph nikakumbuka ingekuwa ni miaka ile ya Decembwr 2019 kuelekea March 2020 wangesema ni yenyewe ilimtoa duniani"

Nilikuwa naipitia hii Paragraph hapa nikiwaza Nimonia ya sasa watu wanaifananisha na Covid_19.
 
Nimesoma hii paragraph nikakumbuka ingekuwa ni miaka ile ya Decembwr 2019 kuelekea March 2020 wangesema ni yenyewe ilimtoa duniani"

Nilikuwa naipitia hii Paragraph hapa nikiwaza Nimonia ya sasa watu wanaifananisha na Covid_19.
Ni kweli

Hii inaonyesha ni jinsi gani ambavyo nguvu kubwa inapaswa kuwa katika ELIMU ,ELIMU , ELIMU kwa jaamii nzima kuhusu maswala mbali mbali ya kiafya izidi kutolewa kwa kina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…