OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Unapokuwa verified jitahidi kutumia akili na hekimaAisee .. R.I.P msambwanda.
Ametuachaje achaje sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapokuwa verified jitahidi kutumia akili na hekimaAisee .. R.I.P msambwanda.
Ametuachaje achaje sasa
Mungu amuepushe na azabu ya kaburiAmina
Vp mnataka Iwepo siku ya kumuomboleza aukama yule mke wako alivyo porn star
Basi tuseme hivi....Hata usipofanya Dhambi Mauti yatakukuta Tu.
Mmh! Ndio nimeusikia saivi..Pole kwa msiba cha utundu
Ndipo tulipofikia. Wakaondoka wengi kwa njia za ajabu ajabu.Wameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.
Mkuu unakumbuka ile clip ya huyu binti na Bash.i.t.e ili trend wakati anamuita AggggiiiiiiLisemwalo lipo
hahaaa "" kwanza kitendo chenyewe cha kuletwa huku kimejaa ubinafsi "" maana unapata akili unashtuka umeshaletwa tu "" pasipo wewe muhusika kushirikishwa ""Halafu huko ni kuzuri ndo maana ndugu zetu wakienda huko hawarudi huku kuisoma namba,
aaah! acha tu mkuu , ukifuatilia vizuri utajua kwanini alikuwa anaishiwa damuYapi tena mkuu au kuingiza ile consigment hko kwa madiba
Ova
dhuu aisee na kuhusu wanao sema alikuwa na presha piaNipo Hospital ya Mama Ngoma ni kweli amefariki kwa upungufu wa damu
Inamaana ilikua kichwa chake nn kileNimewaza pia hivyo, inasemekana Mungu wa dar amemsumbua sana toka waachane watu wake wa karibu wanasema kila siku anamletea mapicha mara amnyang'anye vitu nk labda aliogopa angetoa siri zake
Nyakati zote Mungu ni mwema yeye ndie mwenye jibu la fumbo hili KIFOMmh! Ndio nimeusikia saivi..
God is Good
I suspect, something went wrong regarding to the history of the deceased, ? Poleni wafiwa.Huu uzi unachanja mbuga sans
Kama na hiyo dhambi basi karibia 75% ya wadada wa mjini wanayomademu wa mjini ndio desturi yao now days...sasa kama wamuona masogange anadhambi kwaliwa 0712"" vipi kuhusu viongozi wanao sabbisha migogoro baina ya nchi na nchi mpka kufikia ya watu kuuwana na kumwagana mapia ya damu ktika hii ardhi"" trust me hiyo dhambi uliyoisema hapo watu wengi mnoo huwa wanaishiriki ila kwaajili ya unafki wao wanaficha tu """