Agosti 30 kila mtu kwa Imani yake na mahala alipo tumlilie Mungu dhidi ya TOZO

Agosti 30 kila mtu kwa Imani yake na mahala alipo tumlilie Mungu dhidi ya TOZO

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
 
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
🤣🤣🤣
 
Kwanini Nyerere asingewakusanya wananchi kwa ajili ya maombi dhidi ya ukoloni na badala yake akakusanya kila kinachohitajika na kwenda Uingereza?

Japo maombi yana nafasi yake lakini kwasasa watanzania lazima tuanze kuchukua hatua kali dhidi ya hawa wezi na vibaka wanaovaa tai.
 
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
Sala yangi ni hii:
Ee Mungu tuamulie ugomvi
 
Kwanini Nyerere asingewakusanya wananchi kwa ajili ya maombi dhidi ya ukoloni na badala yake akakusanya kila kinachohitajika na kwenda Uingereza?

Japo maombi yana nafasi yake lakini kwasasa watanzania lazima tuanze kuchukua hatua kali dhidi ya hawa wezi na vibaka wanaovaa tai.
Nimelisema sana hii kuwa we need another approach to liberation, it is not yet Uhuru
 
Huyo Mungu hana muda na wapumbavu kama nyinyi, ana mambo mengi zaidi. Umefikia wakati ambao mnatakiwa kutoka nyuma ya keyboard na kuingia mtaani!

CCM haiwezi kuwa na huruma na nyie kama hamtosimama imara.
 
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
Hilo nalo la tozo ni la kumlilia Mungu,
Ufala huo mi sifanyi maana tozo tunaweza kuziondoa bila kumuomba mungu.
 
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
Watumishi wa Mungu wote nchi nzima wameshindwa kabisa kufanya jambo dhidi ya hii dhuluma kweli!!! Au ni watumishi maslahi hawana Mungu ndani yao
 
Watanzania tuna silka yetu ama ukipenda tabia yetu iliyozoeleka ya kutokupigana hasa tunapokuwa kwenye mtanziko ama mkwamo wa Jambo lolote lile.

Huu siyo uzumbukuku, uzoba ama uzwazwa kama wengi wasemavyo bali ni karama toka kwa mola waliopewa watu wa taifa hili. Nchi hii ni Kisiwa cha baraka na jicho la mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana hata uhuru wa taifa letu ulipatikana kwa maneno tu.

Pia tumeepushwa na mkono wa chuma wa awamu ya tano kwa sala tu.

Hivi sasa tupo kwenye mateso ya tozo, lkn tusimwache Mungu wetu. Tumlilie tena Mungu wetu atufanyie njia pasipo njia. Kila mtu kwa Imani yake na mahala pake pa kazi ama makazi amuombe Mungu atuepushe na mzigo huu wa tozo. (YUPO MUNGU MBINGUNI ASIKIAYE KILIO CHETU).

NB: Tozo ni wizi wa kimabavu. Kilicho halali kwa serikali ni kodi. Kila mtu anapaswa kulipa kodi lkn siiyo tozo.
Yesu anasema ya Kaisari mpe Kaisari na ya Mungu mpe Mungu. Lipeni kodi kwa Kaisari
 
Back
Top Bottom