Ahadi ya billioni moja kwa wachezaji Yanga yawatisha Al Hilal, ya Vipers yawapa wazimu

Ahadi ya billioni moja kwa wachezaji Yanga yawatisha Al Hilal, ya Vipers yawapa wazimu

Alietoa hiyo billion 1 kashajua kabisa Yanga hata akipewa trillion 3 bado kichapo hawawezi kukikwepa ndo maana Hana mashaka na hela yake iko salama
Sishangai maana nchi imefunguka,Gsm ndo wafalme wa bahari
 
Utoe 1B kwa wachezaji endapo wataweza kuvuka

Wakati huo makundi unapewa hiyo hiyo 1B

Mbona hesabu kama zinagoma?

Anyway hiyo 1B naiona kama picha ya samaki tu
Scars mbona nakuamini Sana? Yaani unaweza kutoka na kuamini Taarifa ya mchuma janga?
 
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao.

Piga mwenyewe mahesabu kila mchezaji na wa benchi la ufundi wataondoka na ngapi, siyo chini ya milioni 25-30. Wapo watakaobisha ila ndiyo muelewe kwamba Yanga kwa sasa wanaogelea pesa, yaani hata mchezaji akimtembelea ofisini akikohoa shida tu jamaa anazama kwenye droo anatoka na kibuunda.

Ahadi hii ni siri sababu wachezaji wametaka iwe hivyo wasije wakasumbuliwa na ndugu na jamaa na marafiki, ila taarifa za kintelejensia za njaa kali hatari imezinasa.

Kingine kinachoendelea hapo Khartoum ni ubaridi uliowapata mashabiki, wachezaji na viongozi wa Al Hilal hapo jana baada ya Vipers kuwatoa Mazembe, wakajiuliza sasa kama Vipers waliwafunga Yanga 2-0 wakiwa na Bobosi wamewatoa Mazembe ambao tulifungwa 3-0 na wadogo zao Don Bosco, je, sisi itakuwaje? Ina maana Yanga ni kubwa na imara sana?

Hadi sasa kwa hayo yanayoendelea, Yanga anaenda kushinda 4-1, Mayele anapiga hat trick!
🤔🤔🤔
 
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao.

Piga mwenyewe mahesabu kila mchezaji na wa benchi la ufundi wataondoka na ngapi, siyo chini ya milioni 25-30. Wapo watakaobisha ila ndiyo muelewe kwamba Yanga kwa sasa wanaogelea pesa, yaani hata mchezaji akimtembelea ofisini akikohoa shida tu jamaa anazama kwenye droo anatoka na kibuunda.

Ahadi hii ni siri sababu wachezaji wametaka iwe hivyo wasije wakasumbuliwa na ndugu na jamaa na marafiki, ila taarifa za kintelejensia za njaa kali hatari imezinasa.

Kingine kinachoendelea hapo Khartoum ni ubaridi uliowapata mashabiki, wachezaji na viongozi wa Al Hilal hapo jana baada ya Vipers kuwatoa Mazembe, wakajiuliza sasa kama Vipers waliwafunga Yanga 2-0 wakiwa na Bobosi wamewatoa Mazembe ambao tulifungwa 3-0 na wadogo zao Don Bosco, je, sisi itakuwaje? Ina maana Yanga ni kubwa na imara sana?

Hadi sasa kwa hayo yanayoendelea, Yanga anaenda kushinda 4-1, Mayele anapiga hat trick!
JamiiForums764597660.gif
 
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao.

Piga mwenyewe mahesabu kila mchezaji na wa benchi la ufundi wataondoka na ngapi, siyo chini ya milioni 25-30. Wapo watakaobisha ila ndiyo muelewe kwamba Yanga kwa sasa wanaogelea pesa, yaani hata mchezaji akimtembelea ofisini akikohoa shida tu jamaa anazama kwenye droo anatoka na kibuunda.

Ahadi hii ni siri sababu wachezaji wametaka iwe hivyo wasije wakasumbuliwa na ndugu na jamaa na marafiki, ila taarifa za kintelejensia za njaa kali hatari imezinasa.

Kingine kinachoendelea hapo Khartoum ni ubaridi uliowapata mashabiki, wachezaji na viongozi wa Al Hilal hapo jana baada ya Vipers kuwatoa Mazembe, wakajiuliza sasa kama Vipers waliwafunga Yanga 2-0 wakiwa na Bobosi wamewatoa Mazembe ambao tulifungwa 3-0 na wadogo zao Don Bosco, je, sisi itakuwaje? Ina maana Yanga ni kubwa na imara sana?

Hadi sasa kwa hayo yanayoendelea, Yanga anaenda kushinda 4-1, Mayele anapiga hat trick!
Biashara isiyo na faida hiyo....[emoji28][emoji28].
 
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao.

Piga mwenyewe mahesabu kila mchezaji na wa benchi la ufundi wataondoka na ngapi, siyo chini ya milioni 25-30. Wapo watakaobisha ila ndiyo muelewe kwamba Yanga kwa sasa wanaogelea pesa, yaani hata mchezaji akimtembelea ofisini akikohoa shida tu jamaa anazama kwenye droo anatoka na kibuunda.

Ahadi hii ni siri sababu wachezaji wametaka iwe hivyo wasije wakasumbuliwa na ndugu na jamaa na marafiki, ila taarifa za kintelejensia za njaa kali hatari imezinasa.

Kingine kinachoendelea hapo Khartoum ni ubaridi uliowapata mashabiki, wachezaji na viongozi wa Al Hilal hapo jana baada ya Vipers kuwatoa Mazembe, wakajiuliza sasa kama Vipers waliwafunga Yanga 2-0 wakiwa na Bobosi wamewatoa Mazembe ambao tulifungwa 3-0 na wadogo zao Don Bosco, je, sisi itakuwaje? Ina maana Yanga ni kubwa na imara sana?

Hadi sasa kwa hayo yanayoendelea, Yanga anaenda kushinda 4-1, Mayele anapiga hat trick!
Biashara isiyo na faida hiyo....[emoji28][emoji28].
 
Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao.

Piga mwenyewe mahesabu kila mchezaji na wa benchi la ufundi wataondoka na ngapi, siyo chini ya milioni 25-30. Wapo watakaobisha ila ndiyo muelewe kwamba Yanga kwa sasa wanaogelea pesa, yaani hata mchezaji akimtembelea ofisini akikohoa shida tu jamaa anazama kwenye droo anatoka na kibuunda.

Ahadi hii ni siri sababu wachezaji wametaka iwe hivyo wasije wakasumbuliwa na ndugu na jamaa na marafiki, ila taarifa za kintelejensia za njaa kali hatari imezinasa.

Kingine kinachoendelea hapo Khartoum ni ubaridi uliowapata mashabiki, wachezaji na viongozi wa Al Hilal hapo jana baada ya Vipers kuwatoa Mazembe, wakajiuliza sasa kama Vipers waliwafunga Yanga 2-0 wakiwa na Bobosi wamewatoa Mazembe ambao tulifungwa 3-0 na wadogo zao Don Bosco, je, sisi itakuwaje? Ina maana Yanga ni kubwa na imara sana?

Hadi sasa kwa hayo yanayoendelea, Yanga anaenda kushinda 4-1, Mayele anapiga hat trick!
Hamna hesabu km hizo kwenye mpira la sivyo mhindi tungekuwa tunampiga Sana kwenye mikeka...eti kwakuwa vipers kawafunga yanga 2 na kawafunga tp mazembe 3 basi Nye Nye nye yanga wapo vzuri [emoji23]
 
Back
Top Bottom