Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi nazunguka na taulo kiunoni nyumba nzima huku nikipiga mswaki na kufokafoka.
Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.
Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.
Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.
Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.